..

..
.

Monday 9 December 2013

ALLAN KAMOTE ADHIHIRISHA YEYE NI BINGWA AMPIGA DEO SAMWELI KWA POINT

Bondia Alan Kamote kulia akimshambulia Deo Samweli wakati wa mpambano wao uliofanyika Manzese Dar es salaam kamote alishinda kwa point na kumuacha Deo kuto amin Kamote alidhihirisha hayo mapema tu katika raundi ya pili ya mchezo wake huku Deo akiwa amepanki na kumpa nafas zaid Allan Kamote na kumshinnda mpinzan wake Deo Samweli

Bondia Alan Kamote kulia anajiweka katika nafas nzur zaid mpaka sasa maana ni bondia ambae mpka sasa haja wahi pigwa pambano hata moja leo hiii amewadhihirishia mashabiki wake wa jiji Tanga kuwa yeye ni bingwa

No comments:

Post a Comment

KARIBU