..

..
.

KONA YA MICHEZO

 

 

 

LIGI KUU YA VODACOM 2013/2014 KUANZA AGOSTI 24

 

Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara msimu wa 2013/2014 inaanza kutimua vumbi Agosti 24 mwaka huu kwa timu zote 14 kuwa viwanjani katika miji saba tofauti.
Hata hivyo, kabla ya ligi hiyo kuanza kutakuwa na mechi ya kufungua msimu (Ngao ya Jamii- Community Shield) kati ya bingwa mtetezi Yanga na Makamu bingwa Azam itakayochezwa Agosti 17 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mechi za Agosti 14 mwaka huu zitakuwa kati ya Yanga na Ashanti United (Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam), Mtibwa Sugar na Azam (Uwanja wa Manungu, Morogoro), na JKT Oljoro na Coastal Union (Uwanja wa Kumbukumbu ya Sheikh Kaluta Amri Abeid, Arusha).
Nyingine ni Mgambo Shooting na JKT Ruvu (Uwanja wa Mkwakwani, Tanga), Rhino Rangers na Simba (Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora), Mbeya City na Kagera Sugar (Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine, Mbeya), na Ruvu Shooting na Tanzania Prisons (Uwanja wa Mabatini, Mlandizi, Pwani).
Mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo utamalizika Novemba 3 mwaka huu wakati wa pili utamailizika Aprili 27 mwakani.

Magari awafunda wasanii chipukizi.

Na Oscar Assenga,Lushoto.
MSANII Gwiji wa filamu Tanzania,  
Charles Magari  maarufu kama "Mzee wa Magari" amewaasa wasanii chipukizi wa tasnia hiyo nchini kutambua kuwa sanaa ni kazi kama zilivyo nyingine ambayo inaweza ‘kumtoa’ kijana kutoka kwenye umaskini na kuwa katika hali nzuri ya kimaisha.
Aliyasema hayo mwishoni mwa wiki kwenye sherehe za uzinduzi wa Filamu  mpya iitwayo “Hulka” iliyofanyika mjini Lushoto, Mkoani Tanga ambapo iliwashirikisha wasanii wengine nguli kama Mzee Jengua, Davina, Birigita na Sekuti.
Magari alisema vijana wengi wanaonekana wakipoteza muda kwenye vijiwe wakipiga porojo zisizo na tija huku wakilalamikia hali duni ya maisha yao wakidai kuwa hawana ajira.
“ Ajira huwezi kuipata kwa kukaa tu na kulalamika kwani fursa ya kujiajiri imepanuka sana”, alisema Magari na kuongeza, tasnia ya sanaa bado inahitaji vijana wengi wenye kujituma.
Alieleza kuwa nia ya kuja kuzindua filamu hiyo ni kutaka kuwapa fursa vijana wa wilaya ya Lushoto kujifunza maudhui yaliyomo katika filamu hiyo na kuchukua hatua ya kujisahihisha.
Katika filamu hiyo washiriki wanaigiza tabia ya kabila fulani ambalo halikutajwa ambapo mwanamke aliyeolewa huona hapendwi asipopigwa na muwe mara kwa mara.
Nafasi ya mume anacheza Sekuti ambapo Biligita anachukua nafasi ya mke,Mume ni mtoto wa Mzee Jengua na mke ni binti ya Mzee Magari.
Akizindua filamu hiyo kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Lushoto,Majid Mwanga, Ofisa Utamaduni wa wilaya hiyo, Ezekiel Almas alisema wakati sanaa inaanza kukubalika katika jamii, upo umuhimu kwa washiriki hao kujali na kudumisha tamaduni za kiafrika.
Almas aliitaka jamii kuondoa dhana iliyojengeka katika baadhi ya watu kwamba usanii ni uhuni ambapo alieleza uhuni ni tabia ya mtu binafsi sio fani yake.
Meneja wa Creator Entertainment iliyoandaa sherehe hizo, Mwanahawa Chongole alisema kampuni yake ilikubali kuchukua jukumu la kuandaa sherehe hizo kutokana na kutambua umuhimu wa maudhui yaliyomo ndani ya filamu hiyo kwani inatoa ujumbe utakaoelimisha jamii kwa ufasaha.
Mwisho.

Tanga Warriors yaiadhiri City Kings yaibamiza Vikapu 46-37.

  Na Oscar Assenga,Tanga.
TIMU ya Mpira wa Kikapu ya Tanga Warriors mwishoni mwa wiki iliifunga City Kings vikapu 46-37 katika bonanza la Michezo ambalo liliandaliwa na Bandari Tanga lengo likiwa ni kuwaweka vijana pamoja na kuinua michezo.
Katika mchezo huo Tanga Warriors walionekana kucheza kwa kujipanga na kupeleka mashambulizi mara kwa mara kwenye lango la City Kings ambapo mpaka mzunguko wa kwanza unamalizika Tanga Warriors walikuwa wanaongoza kwa vikapi 37-22 kwenye mechi hiyo ambayo ilichezwa viwanja vya Bandari jijini Tanga.
Baada ya kumalizika mechi hiyo ilifuatiwa na mchezo wa Pete ambapo timu ya Umiseta Tanga iliweza kuumana na Bandari Tanga na kumalizika kwa Bandari Tanga kuibuka na ushindi wa mabao 24-19,katika mchezo ambao ulikuwa na upinzani wa hali ya juu.
Bonanza hilo ambalo lilikuwa la aina yake kutokana na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa michezo mkoani ambapo kwenye mchezo wa kikapu timu ya  Umiseta Tanga waliweza kuifunga Bandari kwa vikapu 24-17.
Mechi ya mwisho ambayo ilikuwa na upinzani mkubwa ni ya kuvuta kamba ambapo timu ya City Kings iliweza kuibuka kidede baada ya kuwavuta Tanga Warriors seti 2-1 michezo ambayo ilichezwa viwanja vya Bandari jijini Tanga.
Nyota wa bonanza hilo alikuwa ni Adam Mkondo kutoka timu ya Tanga Warriors ambaye alichangia kwa kiasi kikubwa kuipa ushindi timu yao kwenye mechi hiyo .
Akizungumza kabla ya kuanza bonanza hilo mgeni rasmi, Kaimu Meneja wa Bandari Tanga,Moshi Mtambalike Chawala alisema lengo la bonanza hilo lilikuwa kuwapa hamasa vijana kupenda michezo pamoja na kuwataka vijana kupenda kujituma na kucheza kwa moyo kwani michezo ni ajira ambayo inaweza kuwainua katika maisha yao.
Kwa upande wake, Afisa Utumishi wa Bandari ya Tanga, Teckla Malombe alisifu viwango vya wachezaji walioshiriki bonanza hilo na kuwataka vijana kuendelea kupenda michezo na kuipa kipaumbele.
Nae Mratibu wa Bonanza hilo, Dr.Omari Khupe alisema Bonanza hilo ni endelevu ambalo hufanyika kila wiki ya mwishoni mwa mwezi lengo ni kuwakutanisha wanamichezo pamoja na kuinua viwango vya michezo.

Mwisho.

Mashabiki wakifuatilia bonanza hilo jana.

Mashabiki wa michezo waliojitokeza kwenye viwanja vya Bandari  wakifuatilia bonanza hilo.

Mambo yalikuwa hivi.

Mchezaji wa timu ya Bandari Tanga,Harold Tarimo akiifungia bao timu yake kwenye bonanza hilo.

Mcheze vema

Afisa Utumishi wa Bandari Tanga,Teckla Malombe akikagua timu kabla ya kuanza bonanza hilo anayefuatia ni mratibu wa bonanza hilo,Dr,Omari Twaha.

Pete nao hawakuwa nyuma

Timu za Mchezo wa Pete zikichuana katika bonanza ambalo limeandaliwa na Bandari Tanga nakufanyika jana kwenye viwanja vya Bandari Tanga.

Tunafuatilia.


Kaimu Meneja wa Bandari Tanga,Moshi Mtambalike Chawala akishuhudia bonanza hilo na kulia kwake ni Afisa Utumishi wa Bandari Tanga,Teckla Malombe.

 

 

 

 

THEO WALCOTT, BAKARY SAGNA WATOSWA KATIKA KALENDA MPYA YA ARSENAL YA MWAKA UJAO 2013



Theo Walcott

Bacary Sagna
LONDON, England
KLABU ya Arsenal imemuacha straika Theo Walcott aliye katika mvutano na timu hiyo kuhusiana na mkataba wake mpya kwenye kalenda yao ya mwaka 2013, imefahamika.
Gazeti la The Sun limesema vilevile kuwa Bacary Sagna, ambaye pia anaisumbua klabu hiyo katika mazungumzo yao kuhusu kusaini mkataba mpya, ni mchezaji mwingine nyota aliyeachwa katika kalenda rasmi ya timu hiyo kwa mwaka ujao.
Walcott (23), haonekani kokote katika toleo la kalenda hiyo ya mwakani baada kushindwa kuwahakikishia kwamba atabaki klabuni hapo.
Straika huyo wa kimataifa wa England, ambaye hivi sasa anapokea mshahara wa paundi za England 65,000 kwa wiki katika mkataba utakaomalizika Juni, alikataa ofa aliyopewa y kusaini mkataba mpya utakaombatana na mshahara wa paundi za England 80,000 kwa wiki.
Mgomo wake huo tayari umeziamsha klabu kadhaa za Ligi Kuu ya England zikiwamo za Liverpool na Manchester City, ambao wanaaminika kuwa wako tayari kuilipa Arsenal paundi za England milioni 15 ili kumnasa wakati wa kipindi cha uhamisho wa dirisha dogo la Januari.
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger amesema wazi kwamba anataka na anatarajia kwamba Walcott atasaini mkataba mpya wa kumbakiza katika klabu yao.
Hata hivyo, wengi wanaamini kwamba sasa Arsenal wameshakubali kumpoteza Walcott baada ya litomjumuisha katika kalenda yao mpya ya mwaka 2013, ingawa Wenger amedai kwamba kuachwa katika kalenda si ishara kwamba nyota hao watapigwa bei.

KARIM BENZEMA ANG'ARA REAL MADRID IKIIUA ATHLETIC BILBAO 5-1... LIONEL MESSI ATUPIA MAWILI KUIPA BARCELONA USHINDI WA 3-1... MESSI SASA ABAKIZA MAGOLI SABA TU KUFIKIA REKODI YA MIAKA YOTE YA MABAO KWA MWAKA WA KALENDA INAYOSHIKILIWA NA MJERUMANI GERD MULLER TANGU MWAKA 1972...!










MADRID, Hispania
Barcelona walijichimbia kileleni mwa msimamo wa La Liga, Ligi Kuu ya Hispania kwa tofauti ya pointi sita dhidi ya Atletico Madrid wakati Lionel Messi alipofunga magoli mawili kwa mara ya saba msimu huu na kutengeneza jingine lililofungwa na Alex Song kwa mara ya kwanza tangu asajiliwe na klabu hiyo katika ushindi wao wa 3-1 dhidi ya Real Zaragoza jana (Novemba 17, 2012).

Mwanasoka Bora wa Dunia, Messi aliongeza idadi ya magoli yake msimu huu hadi kufikia 17 baada ya kufunga mabao safi wakati Barca ambayo haijafungwa katika La Liga msimu huu ikifikisha pointi 34 kutokana na mechi 12.

Atletico wana pointi 28 na leo Jumapili (Novemba 18, 2012) watacheza dhidi ya Granada, wakati Real Madrid inayokamata nafasi ya tatu ikipunguza tofauti ya pointi baina yao na Atletico kuwa pointi mbili baada ya kushinda nyumbani 5-1 dhidi ya Athletic Bilbao.

Baada ya goli la mapema la kujifunga la Jon Aurtenetxe, Karim Benzema, Sergio Ramos, Mesut Ozil na Sami Khedira wakaongeza mengine kwa kikosi cha kocha Jose Mourinho kikiendelea kuimarika baada ya kuanza msimu wka kusuasua ambapo sasa wameshinda mechi saba katika mechi nane zilizopita.

Real sasa wamefunga magoli 19 dhidi ya Bilbao katika mechi zao zilizopita za La Liga kwenye Uwanja wa Bernabeu na tukio la kushangaza lilikuwa ni kwa straika Cristiano Ronaldo kushindwa kuongeza idadi ya mabao 12 aliyo nayo katika La Liga msimu huu baada ya kutofunga jana.

Straika huyo wa zamani wa Manchester United alirejea uwanjani akiwa na jeraha la juu ya jicho aliloumia katika mechi iliyopita ya La Liga waliyoshinda 2-1 dhidi ya Levante.

Messi sasa amefikisha magoli 78 katika mwaka wa kalenda wa 2012 kwa klabu yake (magoli 66) na kwa nchi yake ya Argentina (magoli 12) na anaikaribia kwa kasi rekodi inayoshikiliwa na Mjerumani Gerd Muller aliyefunga magoli 85 mwaka 1972.

Ushindi wa jana wa Barca pia unamaanisha kuwa kocha Tito Vilanova, aliyerithi mikoba ya Pep Guardiola mwishoni mwa msimu uliopita, amekuwa kocha wa kwanza kuiongoza timu kupata ushindi wa mechi 11 katika mechi 12 za ufunguzi wa La Liga tangu kocha Radomir Antic afanye hivyo wakati akiwa na Real Madrid msimu wa 1991-92.

MATOKEO MECHI ZA LA LIGA JANA JUMAMOSI (NOV. 17, 2012)

Barcelona    3 Real Zaragoza   1 
Osasuna      0 Malaga              0 
Real Madrid 5 Athletic Bilbao    1 
Valencia       2 Espanyol           1 

MATOKEO MECHI ZA SERIE A ZILIZOCHEZWA JANA JUMAMOSI (NOV. 17, 2012)

Juventus 0 Lazio      0 
Napoli     2 AC Milan 2 

 

PATA RATIBA YA WIKI HII KUANZIA JUMAMOSI NOVEMBA 17, 2012 KWA SAA SAHIHI ZA KIBONGO LIGI KUU ZA ENGLAND, HISPANIA, ITALIA NA UFARANSA... ARSENAL v TOTTENHAM SAA 9:45 ALASIRI, LIVERPOOL v WIGAN 12:00 JIONI, CHELSEA v WEST BROM 12:00 JIONI, MAN UTD v NORWICH SAA 2:30... BARCA 4:00 USIKU, REAL MADRID 6:30 USIKU


LIGI KUU YA ENGLAND

 


JUMAMOSI, Novemba 17
Arsenal              v Tottenham Hotspur (9:45) alasiri 
Liverpool            v Wigan Athletic    (12:00) jioni
Manchester City      v Aston Villa      
(12:00) jioni
Newcastle United     v Swansea City      (12:00) jioni 
Queens Park Rangers  v Southampton      
(12:00) jioni 
Reading              v Everton          
(12:00) jioni
West Bromwich Albion v Chelsea          
(12:00) jioni
Norwich City         v Manchester United (2:30) usiku 
   



JUMAPILI, Novemba 18
Fulham               v Sunderland        (1:00) usiku 



JUMATATU, Novemba 19
West Ham United      v Stoke City        (5:00) usiku
 
 
LA LIGA, LIGI KUU YA HISPANIA


   
JUMAMOSI, Novemba 17
Osasuna          v Malaga          (12:00) jioni 
Valencia         v Espanyol        (2:00) usiku
Barcelona        v Real Zaragoza   (4:00) usiku
Real Madrid      v Athletic Bilbao (6:00) usiku  

JUMAPILI, Novemba 18 
Deportivo Coruna v Levante         (8:00) mchana 
Celta Vigo       v Real Mallorca   (12:00) jioni 
Getafe           v Real Valladolid (1:50) usiku 
Granada CF       v Atletico Madrid (3:45) usiku 
Sevilla          v Real Betis      (5:30) usiku


JUMAPILI, Novemba 19
Real Sociedad    v Rayo Vallecano  (5:30) usiku    


SERIE A, LIGI KUU YA ITALIA


JUMAMOSI, Novemba 17
Juventus    v Lazio            (2:00) usiku 
Napoli      v AC Milan         (4:45) usiku  

 
JUMAPILI, Novemba 18 
Bologna     v Palermo          (11:00) jioni 
Catania     v Chievo Verona   
(11:00) jioni
Fiorentina  v Atalanta Bergamo (11:00) jioni 
Inter Milan v Cagliari        
(11:00) jioni
Siena       v Pescara         
(11:00) jioni 
Udinese     v Parma           
(11:00) jioni
Sampdoria   v Genoa            (4:45) usiku
 
 
JUMATATU, Novemba 19 
AS Roma     v Torino           (4:45) usiku


BUNDESLIGA, LIGI KUU YA UJERUMANI
 

JUMAMOSI, Novemba 17
Nuremberg                 v Bayern Munich       (11:30) jioni 
Borussia Dortmund         v Greuther Fuerth    
(11:30) jioni 
Borussia Moenchengladbach v VfB Stuttgart      
(11:30) jioni 
Eintracht Frankfurt       v FC Augsburg        
(11:30) jioni
Hamburg SV                v Mainz               (11:30) jioni 
Hanover 96                v Freiburg           
(11:30) jioni
Bayer Leverkusen          v Schalke 04          (2:30) usiku   

 
JUMAPILI, Novemba 18 
Werder Bremen             v Fortuna Duesseldorf (11:30) jioni 
Hoffenheim                v VfL Wolfsburg       (1:30) usiku
 
 
 

LIGUE 1, LIGI KUU YA UFARANSA



IJUMAA, Novemba 16
FC Lorient               v Lille               (4:45) usiku  
JUMAMOSI, Novemba 17
Paris St Germain         v Stade Rennes        (1:00) usiku 
Ajaccio                  v Sochaux             (4:00) usiku 
ES Troyes AC             v AS Nancy           
(4:00) usiku 
Evian Thonon Gaillard FC v St Etienne         
(4:00) usiku 
Stade Brest              v Bastia             
(4:00) usiku 
Valenciennes             v Montpellier HSC    
(4:00) usiku 

JUMAPILI, Novemba 18
Olympique Marseille v Nice                     (10:00) jioni 
FC Lorient          v Girondins Bordeaux       (1:00) usiku
Sochaux             v Olympique Lyon           (1:00) usiku 
Montpellier HSC     v Paris St Germain         (5:00) usiku
 

 

ALEXIS SANCHEZ NJE BARCELONA KWA MWEZI MMOJA

Alexis Sanchez

Alexis Sanchez wa Chile (kushoto) akichezewa faulo mbaya wakati wa mechi yao dhidi ya Serbia juzi.
BARCELONA, Hispania
Alexis Sánchez anakabiliwa na kipindi cha btakriban mwezi mmoja kuwa nje baada ya kuumia kifundo cha mguu wakati wa mechi ya kimataifa ya kirafiki kati ya timu ya nchi yake ya Chile dhidi ya Serbia nchini Uswisi juzi usiku, klabu yake ya Barcelona imesema leo.

Straika huyo mara moja alifanyiwa uchunguzi baada ya kuwasili Barcelona.

Alexis alitolewa alitolewa baada ya dakika 15 tu kufuatia faulo mbaya aliyochezewa na kiungo wa Serbia, Luka Milivojevic. Huku Sánchez akiuonekana wazi kuugulia, kocha wa Chile, Claudio Borghi hakupoteza muda kusubiri kabla ya kumtoa nyota huyo na badala yake kumuingiza Angelo Henríquez aliyecheza kwa mara ya kwanza mechi yake ya kimataifa akiwa na timu ya taifa ya wakubwa.

Kwa mujibu wa madaktari wa Barça, Alexis ameumia kifundo cha mguu wake wa kulia, hiyo ikimaanisha kwamba atakuwa nje kwa mwezi mmoja au zaidi.

Kama taarifa hizo ni sahihi, straika huyo atakosa mechi saba au nane za Barcelona, ambazo ni dhidi ya Zaragoza, Spartak Moscow, Levante, Alavés, Athletic Club, Benfica, Betis na Atlético de Madrid.

 

 

LIONEL MESSI ATUA SAUDI ARABIA NA KUZUA BALAA... MASHABIKI KIBAO WAFURIKA UWANJA WA NDEGE WAKITAKA NAFASI YA KUMUONA 'LIVE' NA WENGINE MAUJIKO YA KUMGUSA MKONO... ASKARI KIBAO WALAZIMIKA KUMLINDA NA BUNDUKI 'MAN TO MAN'









RIYADH, Saudi Arabia
Kulikuwa na vurugu zisizokuwa za kawaida kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mfalme Khaled jijini Riyadh baada ya kuwasili kwa kikosi cha timu ya taifa ya Argentina kujiandaa na mechi yao ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Saudi Arabia kwenye Uwanja wa Mfalme Fahd kesho Jumatano.

Maafisa wa Uwaja wa Ndege walilalamikia kitendo cha maelfu ya mashabiki kufika uwanjani na kulazimisha wapewe nafasi ya kumuona nyota wa Argentina na klabu ya Barcelona ya Hispania, Lionel Messi.

Licha ya ulinzi mkali wa polisi waliokuwa na silaha za moto kwenye uwanja wa ndege na pia katika barabara nzima ya kuelekea uwanjani, bado mamia ya mashabiki wa Messi walifanikiwa kupenya na kufika uwanjani.

Straika huyo alifika jijini Riyadh kwa ndege yake binafsi pamoja na familia yake kabla ya kuwasili kwa wachezaji wengine.

Hata hivyo, askari kibao waliokuwa uwanjani walitumia 'akili' za ziada kuwapiga chenga mashabiki na kufanikiwa kumuondoa Messi uwanjani.

Mashabiki wengi na maafisa wa usalama walilaumu vurugu za kulazimisha kumuona Messi kweny uwanja wa ndege, wakisema kwamba ishara hiyo si nzuri kwa timu ya taifa ya Saudi.

Waandishi wa habari pia walikuwa na kazi kubwa ya kuripoti tukio la ujio wa Messi na wenzake kwani walizuiwa kuwapo kwenye ukumbi ambao wachezaji walikusanyika.


.................................................................

 MAZOEZI YA TAIFA STARS PAMOJA NA KUWASILI KWA TIMU YA HARAMBEE MJINI MWANZA LEO
 Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili ya pambano lao la kirafiki dhidi ya Taifa Stars.mchezo utakao chezwa jimatano katia uwanja wa ccm kirumba mwanza

 Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili ya pambano lao la kirafiki dhidi ya Taifa Stars.mchezo utakao chezwa jimatano katia uwanja wa ccm kirumba mwanza

Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakiwasili katika hotel ya G&G Jijini Mwanza walikopangiwa ambapo timu hiyo itajipima nguvu na Taifa Stars kwenye uwanja wa CCM Kirumba katika mchezo wa kupimana nguvu .


 Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakichangamkia juisi baada ya kuwasili katika hotel ya G&G Jijini Mwanza jana. (Picha zote na George Ramadhan

Golikipa na Nahodha wa Taifa Stars Juma Kaseja akijifua na kipa mwenzake wa Taifa Stars, Deogratius Munisi (Dida) kwenye uwanja wa CCM Kirumba katika matayarisho ya mchezo wao na Harambee  ya kenya
 

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen akimpa maelekezo Mbwana Samatta wakati wa mazoezi ya timu hiyo juzi kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.katika mazoezi

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen akitoa maelekezo kwa wachezaji John Boko (kulia) na Amri Kiemba wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza

SIMBA WALIPOKAMATWA NA MGAMBO JKT MKWAKWANI TANGA

Straika wa Simba, Felix Mumba Sunzu akivaa soksi baada ya kurudishwa benchini na refa Othman Lazi wa Morogoro ili akavae sawa na wachezaji wenzake kabla ya kuanza kwa mechi yao ya Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Mkwakwani Tanga leo. Jambo hilo lilimfanya achelewe kupiga picha na wachezaji wenzake wa kikosi cha kwanza.
Nahodha wa Simba, Juma Kaseja (wa nne kulia) akiwalalamikia waamuzi kuhusu kurudishwa benchini kwa straika Felix Sunzu, huku nahodha mwenzake wa Mgambo JKT, Salum Mlima (14) akisalimiana na waamuzi
Wachezaji wa Simba wakiwa katika picha ya pamoja bila ya Sunzu ambaye alirushishwa kwenda kuvaa sawa na wenzake.

Wachezaji wa Mgambo JKT wakiwa katika picha ya pamoja.
Benchi la Simba
Mashabiki wa Simba wakishangilia baada ya timu yao kuingia uwanjani kabla ya kuanza kwa mechi yao dhidi ya Mgambo JKT kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga jana (Picha kwa hisani ya straikamkali.blogspot.com)

PRE-MATCH BRIEFING: CHELSEA V NEWCASTLE UNITED - PART TWO

Posted on: Sat 25 Aug 2012
The first Saturday game of the season is upon us. Club historian Rick Glanvill and club statistician Paul Dutton, with help from former player Clive Walker, continue their look forward to the match…
Chelsea v Newcastle
TACTICAL BRIEFA second home match in four days, and Chelsea will be looking to avenge last season's 0-2 home defeat, which allowed the Geordies to finish one place higher in the league table. Clive Walker supplies the context.
Key battles'I was delighted to see Fernando Torres off the mark for the league season on Wednesday, albeit from a position that should probably have been called offside. You have that bit of luck sometimes; sometimes it goes against you.
'That's the only goal of Chelsea's six so far that's been scored by an attacker: three have come from defenders and two from a midfielder. Although it's great to share the load I fancy Robbie Di Matteo will want his frontmen get their tally for the season.
'Alan Pardew will hope to have his skipper Fabio Coloccini back in the centre of defence as that area will be under enormous pressure if Chelsea play well, with Torres always on the centre-back's shoulder, looking to be slipped in behind.


'We are playing it through the middle a lot, with little, quick players with great skills who retain the ball well. Steven Taylor is an excellent defender and Coloccini has improved a hell of lot. But I was at the Spurs game. Newcastle weren't good first half. They didn't look top-four challengers to me.
'You certainly can't fault Eden Hazard's generosity in setting up five goals, and Alan Pardew will have been sweating over video to see how to stop the Belgian, who has been a revelation.
'He is so quick and decisive in everything he does it's very hard for opponents to know how to counter. Most have simply decided to foul him! He hardly gives the ball away either and the likes of Cheikh Tioté and Jonas Gutiérrez will have to be on their toes covering his movement. Gutierrez is not great defensively for me and our guys could tie him in knots.
'It's a bit "Tales of the Unexpected" on both sides really. Hazard brings unpredictability in that he can quickly change the shape of your attack. He has got together with Mata and it seems to work, and Mata already had a good link with Torres, which makes a triangle. That's what you're taught when you start off in the game - work in triangles. In the fullness of time I don't doubt Oscar will fit in there well too. More of our football is being played spontaneously, supported by a solid back four, and the two in midfield doing well.
'Newcastle will have worked out that Hazard likes to pick out Juan Mata but identifying that is easier than stopping it. It may be a slight issue that their midfielders have played a Europa League qualifier just 48 hours earlier, but players' legs are fresh this time of year - it shouldn't make much difference.

          HAWA NDIO WACHEZAJI WA TANZANIA WALIOWEKEWA PINGAMIZI KUCHEZA LIGI KUU.

Klabu mbalimbali zimewasilisha pingamizi Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kupinga usajili wa wachezaji 17 walioombewa usajili katika timu za Ligi Kuu.
Toto Africans imewawekea pingamizi wachezaji Enyinna Darlinton aliyeombewa usajili Kagera Sugar, na Mohamed Soud anayekwenda Coastal Union kwa maelezo kuwa bado ina mikataba na wachezaji hao.
Pia Flamingo ya Arusha inapinga usajili wa wachezaji wake Kelvin Friday Iddy katika timu za Azam na Salim Walii (Polisi Mara) kwa vile taratibu za kuwahamisha bado hazijafanywa. Nayo Kagera Sugar inapinga usajili wa beki David Charles Luhende kwenda Yanga kwa vile ada ya uhamisho haijalipwa.
Super Falcon ya Chanjamjawiri, Chakechake, Pemba inapinga wachezaji wake wanne; Edward Christopher Shija, Samir Said Luhava (Simba), Robert Joseph Mkhotya (African Lyon) na Sultan Juma Shija (Coastal Union) kusajiliwa katika timu hizo kwa maelezo taratibu halali za uhamisho hazikufuatwa.
Mchezaji Othman Hassan aliyeombewa usajili Coastal Union anapingwa na Oljoro JKT kwa vile bado ana mkataba na timu hiyo unaomalizika Mei 24, 2013. Nayo Rollingstone Multipurpose Ateclass Foundation ya Arusha inapinga usajili wa Kigi Makassy kutoka Yanga kwenda Simba hadi itakapolipwa fidia ya kumlea mchezaji huyo kwa vile bado hajafikisha umri wa miaka 23.
Azam inapinga usajili wa Ramadhan Chombo ‘Redondo’ kwenda Simba kwa maelezo bado ina mkataba naye unaomalizika Juni 11 mwakani. Nayo Simba inapinga Kelvin Yondani kusajiliwa Yanga kwa maelezo kuwa ina mkataba naye uliosainiwa Desemba 23 mwaka jana.
Vilevile Simba imewasilisha malalamiko ya mchezo usio wa kiungwana katika usajili wa Mbuyu Twite aliyeko Yanga kwa maelezo alisaini mkataba na klabu yao Agosti Mosi mwaka huu mbele yao, viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Rwanda (FERWAFA) na APR ambapo alilipwa dola 30,000 na nyingine 2,000 ikiwa ni fedha ya kujikimu na nauli yake ya kujiunga na klabu hiyo.
Nayo Yanga inapinga Simba kuwaacha wachezaji Dan Mrwanda, Haruna Shamte, Kanu Mbiyavanga na Lino Masombo kwa maelezo walishapatiwa leseni za kucheza Ligi ya Tanzania walizozitumia kwenye mashindano ya Kombe la Kagame. Pia inapinga Ramadhan Chombo ‘Redondo’ kujiunga Simba kwa vile ana leseni ya kuchezea Azam kwa msimu wa 2012/2013.

 

 

Cheka aingia orodha ya mabondia bora IBF 

 BINGWA wa ngumi za kulipwa, Francis ‘SMG’ Cheka ameingia katika orodha ya mabondia bora 15 duniani wanaotambuliwa na Chama cha Masumbwi cha IBF.

Cheka bingwa wa taji hilo Afrika ameingia kwenye orodha hiyo kufuatia viwango vya ubora vya dunia vya IBF vilivyotolewa hivi karibuni.

Kwa viwango hivyo, bingwa huyo wa Afrika wa uzani wa super middle ana nafasi ya kuwania Ubingwa wa Dunia wa IBF dhidi ya mabingwa kutoka nchi mbalimbali ulimwenguni.

Kwa mujibu wa Rais wa Chama cha Ndondi cha PST, Emmanuel Mlundwa, Cheka anaweza kuwania taji hilo dhidi ya Benjamin Simon na  Henry Weberwa wa Ujerumani.

"Mabondia wengine wanaoweza kucheza na Cheka kuwania ubingwa huo ni Maxim Vlasov  wa Russia, Marco Periban wa Mexico na Ezequiel Maderna wa Argentina," alitaja Mlundwa.

Wengine ni Paul Smith wa United Kingdom, Junior Talipeau na Serge Yannick  (Australia), Nikola Sjekloca na Alexander Johnson (United States),  Roman Shkarupa (United Kingdom), Luis Garcia  (Ireland), Rudy Markussen (Denmark) na Fulgencio Zuniga  wa Colombia.
 

 

LIONEL MESSI NDIO MWOKOZI WA KIWANGO CHA WAYNE ROONEY - FAHAMU KWANINI?


                   
Miaka miwili iliyopita, Wayne Rooney alikuwa on fire na akawa anatajwa kuwa anaweza kuwa mchezaji bora wa dunia muda mchache kabla ya kuanza kwa fainali za kombe la dunia.

Rooney alikuwa ndio mchezaji aliyefunga mabao megni nchini England kwa jumla akifunga mbao 34 kwa klabu yake ya Manchester United na msimu ulipoisha akachaguliwa kuwa mchezaji wa ligi kuu ya England - wiki mbili kabla ya WOZA 2010.

Alikuwa yupo katika top 3, lakini kiwango chake kibovu alichoonyesha kwenye michuano ya WOZA 2010 iliyofanyika South Africa kikamuondoa katika orodha ya washindani wa juu.

Mpaka muda wa kutajwa kwa washindani wa wa tuzo ya Ballon d'Or wanatajwa, Rooney alikuwa ni mmoja tu ya wachezaji waliowekwa kukamilisha idadi inayotakiwa.

Lionel Messi akaitwaa tuzo hiyo baadae kwa kuwashinda wachezaji wenzie wa Barcelona Xavi na Andres Iniesta.

Mwaka mmoja baadae, Messi akatajwa tena mchezaji bora wa dunia kwa mara pili na mwaka huu anategemwa kupiga hat trick ya tuzo ya uchezaji bora wa dunia.

Baada ya kutupia mabao 82 msimu uliopita akiwa na klabu yake ya Barcelona  na nchi yake, Messi anastahili kuwa kwenye category ya peke yake.

Messi alifunga mabao 14 na kuweka rekodi kwenye champions league msimu uliopita, mabao matano kati ya hayo aliyafunga kwenye mechi dhidi ya Bayern Leverkusen kabla ya mwishowe Barca kutolewa na Chelsea kwenye nusu fainali.

Amekuwa akijitoa akivuja jasho kwa ajili ya mchezo aliochagua, mbele ya mashabiki maelfu amekuwa akicheza kwa juhudi sana na ku-produce kiwango bora kabisa kwa ajili ya jezi ya Blue na nyekundu ya klabu yake ya Catalunya. Hali yake hiyo ya kujituma haijashuka, bado amekuwa ndio kiongozi wa mashambulizi ya Barca.

 Yanga retain Kagame Cup


Defending Cecafa Kagame Cup champions Yanga have retained their crown after a superb 2-0 win over debutants Azam in an exciting final played at the National Stadium, Dar es Salaam.
Hamisi Kiiza broke the deadlock a minute before half time after a defensive blunder by Azam's Said Morad whose back pass was intercepted by the Yanga striker who then lobbed the ball over an advancing Munishi in Azam's goal.
Azam worked hard to get back into the game but the Yanga defence marshalled by defender Nardir Haroub remained steadfast.
Haruna Niyonzima's creativity at the middle of the park was driving Yanga as his deft passes and sublime runs troubled the Azam defence and deep in injury time he set up Said Bahanuzi who blasted a screamer to give Yanga the deserved 2-0 win with his sixth goal of the tourney.
After the final whistle the multitude of fans sang song of praises as they ululated to Yanga's win.



 Kipre Cheche kulia Mchezaji wa timu ya Azam FC akikokota mpira mbelea ya beki wa Yanga Nidir Haroub Canavaro wakati wa mchezo wa fainali ya kombe la Kagame inayofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni hii, mpira umekwisha na timu ya Yanga imefanikiwa kutetea kombe la Kagame kwa mara ya pili mfululizo baada ya kuitandika timu ya Azam FC goli 2-0 jioni hii.

 

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam akielekea kukagua timu kabla ya mchezo huo kuanza kulia ni , Crecentius Magori kushoto Makamu Mwenyekiti wa timu ya Yanga Clement Sanga na katikati ni Mwenyekiti wa Azam FC mzee Mohamed Sai. 



Magoli mawili yaliyopachikwa wavuni na washambuliaji wa Yanga Hamisi Kiiza katika dakika ya 44 kipindi cha kwanza na lile la Said Bahanuzi katika dakika ya 90 ya mchezo yameiwezesha Yanga kuibuka Mabingwa tena wa Kombe la Kagame 2012 baada ya kuchapa bila huruma mahasimu wao Azam FC kwa goli 2-0, katika mchezo wa fainali uliochezwa leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Tanzania ijnakila sababu ya kujivunia ushindi huo wa Yanga na nafasi ya pili ya Azam katika michuano hiyo ya mwaka huu ambapo Tanzania kama mwenyeji wa michuani huyo iliingiza timu 4 zikiwapo za Simba na Mafunzo zilizotolewa katika hatua ya robo fainali.

Yanga pia waliutumia mchezo wa leo kulipiza kisasi cha kufungwa goli 3-1 na Azam katika mchezo wao wa Ligi Kuu msimu uliopita na kupelekea wachezaji kadhaa wa Yanga kufungiwa baada ya kushambulia mwamuzi kwa ngumi.

Kenya face Botswana in friendly

Kenya’s under 23 side take on Botswana in an international friendly on Thursday from Nyayo National Stadium from 5pm on SuperSport 9East.

The hosts will field a development side while the latter have local-based players who will use this match as an opportunity to prove their worth.
Kenya received a boost after Gor Mahia coach Zdravko Logarusic agreed to release Musa Mohammed, Antony Akumu and David Owino but will miss out on Rama Salim.
On the other hand, they will have to deal with the fact that AFC Leopards have refused to let Bernard Mangoli, Martin Imbalambala, Victor Ochieng, Patrick Matasi and Edwin Wafula to link up with the team.
This is Kenya’s fourth meeting with Zebras, they have only managed to beat them once in 2005 at Moi International Sports Center, Kasarani.Whether they maintain that unbeaten record at home it would either define them or redefine their quality. After Harambee Stars came under sharp criticism for their poor outing last month, the junior side knows what is at stake.The youngsters gave a good account of themselves Senegal and Guinea prior African Cup of Nations and a win at home will further show their progress.

Caulker renews Tottenham deal

 Tottenham defender Steven Caulker has signed a new four-year contract, the Premier League club announced on Thursday.
The 20-year-old has also established himself as a regular in the England Under-21 set-up and was recently called up to the Team GB football squad for the Olympics.
Caulker signed his first professional deal with Tottenham in 2008 and he has since enjoyed successful loan spells at Swansea, Yeovil and Bristol City.
The Londoner has only made one appearance for Tottenham - two years ago in the League Cup defeat to Arsenal - but he is expected to challenge for a first-team place next season under new boss Andre Villas-Boas

 

Senegal name Koto as fulltime coach


Joseph Koto has been appointed fulltime coach of Senegal for the rest of their 2014 World Cup qualifying campaign, the national football federation said on Thursday.
Koto was put in charge on a temporary basis after the dismissal of Amara Traore in February following a poor African Nations Cup competition for the team.
Senegal picked up four points from their opening two World Cup Group J matches last month - a home win over Liberia and a draw in Uganda.
In April, Senegal appointed Pierre Lechantre, a former Nations Cup winner, as coach only for the Frenchman to pull out of the deal just two weeks later.
Former international Koto is also coach of the under-23 side who will compete this month in the men's football tournament at the London Olympics.

 

Saintfiet headed to Yanga



Former Nigeria Technical Director Tom Saintfiet is set to take over Tanzania giants Yanga with immediate effect SuperSport.com can reveal.
Saintfiet who has been in his native Belgium was expected to arrive in Dar es Salaam,Tanzania on Tuesday and immediately embark on preparing the Cecafa Kagame cup defending champions.
"Yanga want me to start work immediately since they have agreed to all my requests. My wish was to coach a national team but with the renewed interest I will have to settle for club level and help them as they continue preparations with Cecafa Kagame Cup."
"I will be travelling to Tanzania and I will get a brief on my job description," Saintfiet told SuperSport.com.
Yanga had earlier last week considered former Harambee Stars coach Jacob "Ghost"Mulee for the job but settled on the experienced 39 year old tactician who has also coached Namibia, Zimbabwe and Ethiopia national teams

 

Torres hails magical Kiev night

 Fernando Torres hailed a "magical evening" in Kiev after Spain thumped Italy 4-0 in the final of Uefa Euro 2012™ and he scored a goal to land the tournament's golden boot award.

The Chelsea striker joins an elite list of players who have won the European Cup and the European Championship in the same year.
Torres and club mate Juan Mata, who netted Spain's fourth goal, became the sixth and seventh to achieve the feat after Luis Suarez with Inter Milan and Spain in 1964 and Hans van Breukelen, Berry van Aerle, Ronald Koeman and Gerald Vanenburg with PSV Eindhoven and Netherlands in 1988.
"You can't ask for more but it is the work of the team and the togetherness that has brought us here," Torres told his personal website (www.fernando9torres.com).
"You always want to win more and more but right now we have to enjoy this," added the 28-year-old. "We have dominated from start to finish and enjoyed a magical evening."
Spain are the first nation to win back-to-back European Championships with a World Cup in between and under coach Vicente del Bosque have set a new standard in international football.
Torres said Spain had ridden their luck at times during Euro 2012 but were now very much the team to beat.
"Now we can say national teams of the future will concentrate on us to try and make history," said Torres who also scored the winner in the Euro 2008 final.
"We had luck in some moments of the championship but at the end we will reflect on what it means in Spanish football history."

 

HISPANIA YATWAA KOMBE LA EURO 2012

Nahodha wa Hispania, Iker Casillas akiwa ameinua kombe la Euro 2012 wakati akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kutwaa kombe hilo kwa kuwafunga Italia bao 4-0 kwenye fainali iliyopigwa katika uwanja wa Olympic mjini Kiev, Ukraine leo. (Picha kwa hisani ya Getty Images

 

SPAIN VS ITALY EURO 2012 FINAL: WATU MILLIONI 250 KUANGALIA, TIKETI MOJA INAUZWA NI HATARI - NI BALOTELLI AU TORRES NANI KUONGEZA TAJI USIKU WA LEO - YAJUE MAMBO MUHIMU KUHUSU FAINALI HII

 1: Hii ndio fainali ya kwanza yaEuro ambayo magolikipa wote watakuwa manahodha.

2: Ikiwa Spain wakishinda leo, Vicente Del Bosque atakuwa kocha wa kwanza wa timu ya taifa kushinda kombe la dunia na kombe la ulaya. Helmut Schon aliongoza Ujerumani Magharibi kushinda Euro 1972 na kufuatia na kombe la dunia 1974.

6: Goli la haraka zaidi kufungwa kwenye fainali ya Euro liliwekwa kimiani na mchezaji wa Spain Jesus Pereda dakika ya sita ya mchezo wa fainali.

7: Wachezaji saba tu kutoka nje ya ligi ya Spain na Italy ndio wapo kwenye vikosi vya timu hizi mbili.

7: Kutakuwa na redio saba za kihspaniola zitakazotangaza mchezo wa leo, nyingi kuliko nchi yoyote dunaini.

10: Mreno Pedro Proenca ndio atakuwa mwamuzi wa fainali ya leo jumapili na ameshatoa kadi 10 za njano, huku akiwa hajaigusa kadi nyekundu kwenye michuano hii.

15: Italy wameshapata kadi za njano 15 kwenye Euro 2012, nyingi kuliko timu yoyote kwenye michuano hii.

17: Alvaro Arbeloa ndio mchezaji aliyecheza faulo nyingi kuliko wote kwenye mashindano, akicheza faulo mara 17.

27: Huu ndio wastani wa umri wa kikosi cha Spain.

28: Huu ndio wastani wa umri wa kikosi cha Italia - miaka 28.

31: Kutakuwepo na camera 31 zitakazokuwa zikinasa picha za matukio ya mchezo wa leo kwenye uwanja wa Olympic.

55: Italy wamepiga mashuti 55 kwenye lango - mengi kuliko timu yoyote kwenye Euro 2012.

92.8: Kiwango cha pasi zilizofika cha Xavi ni asilimia 92.8, kiwango kikubwa kuliko mchezaji yoyote kwenye mashindano haya na mchezaji yoyote kwenye fainali ya leo.

120: Gianluigi Buffon atacheza mechi yake ya 120 kwa Italy - ikiwa atapangwa kwenye fainali ya leo.

137: Buffon bado hajamfikia mpinzani wake kwenye fainali ya leo Iker Casillas ambaye amecheza mechi 137 akiwa na La Roja.

164: Mshambuliaji wa Italy Sebastian Giovinco ndio mchezaji mfupi zaidi kwenye Euro 2012 - akiwa na sentimita 164.

180: Huu ndio uwiano wa urefu wa wachezaji wa Spain

181: Huu ndio uwiano wa urefu wa wachezaji wa Italia.

200: Fainali hii itaonyeshwa kwenye zaidi ya nchi 200 duniani.

455: Xavi pekee amepiga pasi zilizofika 455 - nyingi kuliko mchezaji yoyte kwenye Euro 2012.

2000: Adidas wametoa mipira 2000 kwa ajili ya mechi za michuano hii.

3, 568: Gharama ya tiketi ya bei ya katikati kwa ajili ya mchezo wa fainali ni €3468

40,000: Kiungo wa Italia Andrea Pirlo anamiliki kampuni ya kutengeneza wine, Pratum Coller, ambayo inauza zaidi ya chupa 40000 kwa mwaka.

68,055: Kutakuwa na watu 68055 ndani ya uwanja wa Olympic mjini Kiev kwa ajili ya kuangalia fainali ya leo.

582,810: Wachezaji wote wa Spain wamekimbia mita zipatazo 582,810 kwenye Euro 2012.

605,020: Wachezaji wote wa Italy wamekimbia mita zipatazo 582,810 kwenye Euro 2012.

1,000,000: Zaidi ya watu million moja wamenunua jezi ya juu ya Spain zilizotengenezwa na adidas kwa ajili ya Euro 2012.

1, 000,000 - Kampuni ya vinywaji ya Carlsberg inategemea kuuza vikombe millioni moja vya bia kwenye dakika 15 za mapumziko kwenye uwanja wa Olympic na maeneo mengine yaliyotengwa maalum kwa ajili kuangalizia mpira wa mechi ya fainali mjini Kiev.

1, 320,000 - Idadi yote ya mashabiki ambao wameingia viwanjani kuangalia Euro 2012 imefika watu millioni 1.32.

250,000,000 - Watu millioni 250 wanategemewa kuangalia mechi ya fainali ya leo duniani  kote.

Vita club for Kagame Cup

Vita Club of Democratic Republic of Congo has been invited to take part in the Cecafa Kagame Cup championship that kicks off on July 14.
Vita Club was among four others that had requested to take part in the event.
Eleven clubs will contest the two week championship that will be broadcast on your world champions SuperSport across Africa.
Other clubs taking part in the championship include Yanga(holders), Simba and Azam from Tanzania, Tusker( Kenya), APR (Rwanda), Atletico (Burundi), Ports (Djibouti), URA (Uganda), Mafunzo (anzibar),Wau Salam (South sudan) and Vita club (DRC).
The draws and fixtures were unveiled in Dar es Salaam on Thursday with the defending champions Yanga facing Burundi's Atletico in the opening match Saturday week.
"The long term objective of Cecafa is to make Kagame Cup one of the biggest club football competitions in Africa. With enough sponsorship next year, we may increase the number to 16 following growing interest from clubs across the continent," Cecafa secretary general Nicholas Musonye told SuperSport.com.
"Cecafa patron President Paul Kagame has already committed USD 60,000 in prize money which will be shared among the top three finishers.
”In responding to the vision of President Kagame, CECAFA wishes to use the power of football to promote Peace and stability in the Great Lakes Region and in the Horn of Africa," Musonye added.

 

Midfielder Andres Iniesta says Spain are not going to change their style and believes the lack of entertainment in their games is due to opponents setting out purely to defend against the world champions.

Spain's performance against France in their 2-0 quarterfinal win was viewed in many quarters as lacking in attacking intent with their possession football failing to provide much in the way of a spectacle.
But Iniesta says their short-passing possession game, which has brought a European Championship and World Cup triumph, won't be abandoned.
"We have our own style, our own game which has brought us success. We have won two trophies with this style but any opinions are valid and I respect them," he said ahead of Wednesday's semifinal with Portugal at the Donbass Arena.
"This is the method that brought us success - we can't forget that a few years back, we changed the history of Spanish football nor can we forget the way that we did it," he said.
Iniesta suggested the lack of excitement was largely to do with the way opponents have clammed up against Spain.
"Once you have a team that always attacks but you attack against a closed defence of an opposition who don't leave you spaces, of course it is not as attractive as an open match with two teams that want to win," he said.
But the Barcelona wide-man rejected the notion that criticism showed a lack of respect for Spain's achievements.
"No. Football is great in this respect, not everyone likes the same thing, not everyone can agree on everything and a diversity of opinion is what makes it special," he said.
Spain coach Vicente Del Bosque said the team's record, with the Euro 2008 triumph followed by World Cup success two years later spoke for itself.
"We don't want to stagnate, we want to go forward but winning two trophies has been proof of our qualities.
"So we look to play in our style, people don't like it but it is our style - people have to complain about something," he said.
Portugal's approach has been based around a fast counter-attacking game, mainly through wingers Cristiano Ronaldo and Nani, and Del Bosque said he expected Wednesday's opponents to play in the same fashion again.
"They are very stable, they have stuck with the same starting lineup and don't except any change except for (the injured striker Helder) Postiga.
"They are stable and their coach (Paulo Bento) really knows what he is doing. We will see if they do something new but I'm expecting the same Portugal we saw in the other four games," he said.

 

MFUMO MZIMA WA SOKA LA ENGLAND NI MBOVU: YASIPOFANYIKA MABADILIKO MACHUNGU YA JUMAPILI YATAKUWA YA MILELE


England walitegemewa na kwa mara nyingine tena wamefeli kupata matokeo.
Inahuzunisha, na kama mshabiki wa dhati kabisa wa timu hii ya taifa, inaniumiza sana kusema kwamba tumepata tulichostahili.
Ndio, kwenye Euro 2012 tulithibitisha kwamba tunayo moja safu bora kabisa za ulinzi kwenye soka, na kipindi hiki hakuna anayeweza kuzungumza umoja uliopo kwenye kikosi chetu.
Lakini kiukweli kabisa unadhani tunaweza kushinda makombe kwa kutegemea kuwa safu bora tu ya ulinzi?
Na nafikiri ligi yetu ya premier league iwe ya kwanza kuangalia tunapoanza kutafuta sababu za kushindwa kwetu, ligi ambayo tumekuwa tukijisifu kwamba ndio bora na kubwa duniani, ambayo inapendwa zaidi duniani.
Nafahamu tumesaini mkataba mpya matangazo ya TV wenye thamani £3billion, lakini inabidi kujiuliza kwanini ligi yetu inakuwa bora?
Wakati hakuna wa kuweza kupinga ubora na burudani inayopatikana kwenye mechi za kila wiki, inabidi tujue ukweli kwanini tumefanikiwa kwa hilo.
Ukweli ni kwa sababu ya kuwa namba kubwa ya wachezaji wa kigeni ambao ni mastaa wakubwa wanaong'ara kuliko wa kwetu.
Iondoe Manchester United wakati unaangalia timu kubwa, kwa sababu United wenyewe wameweza kuwa na wachezaji wengi wazawa - tuwasifie kwa hilo, lakini ukiachana na wao, Chelsea, Manchester City, Arsenal na Tottenham wamejaza wachezaji wengi wa kigeni wakubwa kutoka nje ya nchi.
Sisemi kwamba inabidi tuwaondoe wachezaji wa kigeni kwenye ligi yetu, hapana, lakini tuangalie ni namna gani uwepo wao ni wapi unaiacha England.
Ikiwa tungeweza kupita dhidi ya Italy - lakini hilo nalo lingekuwa aibu kwenye soka ukiangalia namna tulivyocheza - je tungekuwa kwenye hali gani pale ambapo tungekutana na vijana wanaotisha wa kijerumani Alhamisi hii kwenye nusu fainali?
Mungu kaepushia mbali tungekuwa tunakutana nao na kupata aibu nyingine kubwa, kwa sababu, kiukweli, tupo maili millioni moja nyuma yao, Kama ilivyo kwa Spain na Brazil.
Kila mmoja wetu alikuwa akiongelea namna tunavyoweza kuzuia vizuri kwenye michuano hii ya Euro na hilo ni kweli. Lakini ni jinsi gani tulikuwa ovyo linakuja suala la kushambulia?
Ndio tulikuwa tunamsubiria Wayne Rooney arudi, inahuzunisha, haikutokea vile ambavyo tulitegemea kwamba angetoa suluhisho kwenye ushambuliaji. Hilo sio kwa sababu Rooney ni mbovu la hasha hiyo inaonyesha ni kiasi gani namna safu yetu nzima ya ushambuliaji ilivyokosa makali.
Hakuna ubunifu, hatuna uwezo wa kumiliki mpira, hata kupigiana pasi, na hatukuwa na uwezo wa kubadilisha mchezo wetu kutokana na mazingira.
Angalia namna Spain walivyobadilisha mfumo wao na angalia walipo sasa
Wanamiliki mpira jinsi wanavyotaka mpka kuna wengine inawakera kuwaangalia.
Tazama namna tulivyocheza dhidi ya Italia, Jumapili, utaona tofauti kubwa iliyopo na timu nyingine kubwa.
Italia walikuwa na Andrea Pirlo, Azzuri walikuwa na mwanaume aliyefanya kila kitu, tofauti yetu kubwa na wao hatukuweza kuwa na mtu aliyeweza kufanya kazi aliyokuwa akifanya Pirlo kwa Italia.
Siwezi kutoa lawama kwa yoyote lakini ukweli ndio huo - na labda sasa hivi tuache maneno na kuondoa upofu tulionao juu ya ukweli kuhusu uwezo wetu kisoka.
Ofcourse ilikuwa jambo zuri kuona vijana wadogo kama akina Alex Oxlade Chamberlain kwenye level ya kimataifa na pia Danny Welbeck alipata nafasi.
Lakini wapo akina Pirlo, Mesuti Ozil au Andres Iniesta wa kiingereza? Wachezaji ambao kwao kila mapambano yanapozidi ndivyo na viwango vyao vinapozidi.
Wote hawa ni wachezaji wakubwa tena aina yake ambao kwenye michuano hii wameonyesha ukubwa wao.
Kuna wale ambao wamekuwa wakisema kwamba tunapaswa kufurahia kwa kuweza kufikia hatua ya robo fainali lakini mara tu tulipokutana na Italy, tulihadhirika.
Hatukuweza kuwamudu na kupeleka presha  kwenye lango lao, na hilo linakuja kutokana na kukosekana kwa wachezaji wa michuano mikubwa.
Na hilo linanileta kwenye suala linalipigiwa kelele kwamba Jack Wilshare ndio mchezaji ambaye ataleta utofauti kwenye timu na kutufanya tutishe.
Ndio, nakubali kwamba ana kipaji kikubwa, lakini kijana yule amekuwa nje ya dimba kwa msimu mzima, hivyo tumuache aweke umakini katika kurejesha kiwango chake akiwa na Arsenal  - bila kuwepo na presha ya mategemeo makubwa kwenye mabega yake machanga.
Kitu ambacho Boss Roy Hodgson anahitaji kufanya ni kuleta watu aina ya akina Alan Shearer, Gary Lineker, Chris Waddle, John Barnes na wengine ambao walifanya makubwa wakiwa kwenye timu ya taifa na kutumia uzoefu na maarifa yao.
Awaache watu wa aina hiyo kusaidia kufundisha na kukuza vipaji vya vijana wadogo kwa sababu sasa hivi, kijana yoyote mwenye kipaji anaandamwa na kupewa uoga wa mategemeo huku muda mwingine wakishindwa kuelewa namna ya kushughulika na mategemeo hayo.
Wakati Premier League itakapoanza tena, tutaanza tena  kujisifu kuhusu burudani inayopatikana kwenye ligi yetu.
Lakini inabidi tujue kwamba mpaka wakati watu wakubwa wanaongoza soka letu wafanye maamuzi magumu kuhusu ni wapi ligi yetu inaiacha timu ya Taifa, basi maumivu tuliyoyapata usiku wa jumapili yataendelea kuwa ya kawaida.
Klabu vs nchi? Kuna mshindi mmoja kwenye vita hiyo sasa  hivi.
Na kama yasipofanyika mabadiliko kwenye mfumo wa soka letu, kikubwa tunachoweza kupata kutoka kwenye kombe la dunia 2014 nchini Brazil ni marudio ya Euro 2012. Tena hapo kwa mafanikio ya juu kabisa.

 

Egypt want Ngorongoro friendly


The Egyptian Football Association (EFA) have requested for two friendly matches between their under 20 side and Tanzania's 'Ngorongoro Heroes.'

The EFA has requested the matches to be played on July 3 and July 5 this year on special conditions.
> If Egypt will host the match, they will cover for accommodation, meals, local transportation and a place to practice for Ngorongoro heroes. And if the game will be hosted in Tanzania, the Tanzanian Football Federation (TFF) will have to undertake the logistics.
Consequently, the TFF secretariat is conducting a cost analysis to determine which cost is affordable before making the decision on where the matches will be played.
Ngorongoro Heroes marched into the second round of the African Youth Championships qualifiers after defeating Sudan 4-3 on aggregate. The finals will be played in Algeria next year.
They face Nigeria's Flying Eagles, with the first leg to be played in Dar es Salaam on 28th July.

 Nengomasha leaves Chiefs





Kaizer Chiefs have confirmed the departure of long-serving midfielder Tinashe Nengomasha from the club when his contract expires at the end of June.
Nengomasha’s almost 11 year stay with the club comes to and end after the player joined the club in January 2002. Nicknamed ‘The General’, the player went on to don the gold and black 324 times winning back to back titles between 2003-2005 and numerous cup competitions.
During the club’s Players Awards in May he was honoured with a prestigious award, the Chairman’s Special Award by the club’s executive chairman, Kaizer Motaung.
Motaung paid a glowing tribute to the Zimbabwean.
Speaking on the club’s website on Sunday Motaung said; “I would like to take this opportunity on behalf of the club to thank Tinashe Nengomasha for the contribution he has made to the club since joining us as a youngster back in 2002. From the first day he came to the club he was someone you knew you could trust and would never let you down on the pitch. He always carried himself as a professional and his dedication on the pitch was second to none. He was a fighter and earned respect not only from his teammates but his peers in the Premier League and fans alike.
Parting ways is not always easy but all good things do come to an end. Change alone always comes with mixed feelings, but we are very confident that Tinashe will succeed where ever he goes to continue with his career.
He was a great servant for the club and we will forever cherish the years he spent with us and we would like to wish him all the best in his new endeavours,” said Motaung.
Nengomasha thanked the club for giving him an opportunity to play for them.
“I am grateful to the club and the management for giving me an opportunity to come here. I would also like to thank the fans in the manner in which they welcomed me to the club.
I will always have good memories of the time I have spent at Naturena. We fought so many battles together and the fans were always behind the club.
I learnt a lot from the likes of Patrick Mabedi, Brian Baloyi, Cyril Nzama and each and every player that I have played with. I thank them for the contribution they have made in my life.
I would like to wish the club all the best in the new season. I wish the new players well and at the end, I know they will take the club back to where it belongs…all the best to each and every one and thank you for the wonderful memories,” added a visibly emotional Nengomasha.
Nengomasha, who in the past decade made the number 8. jersey his own, won the PSL Player’s Player of the Year and Player’s Player of the Year back in 2003/2004 season.
He was also part of the team that won the Coca Cola Cup, SAA Supa8, Absa Cup, Telkom Knockout (three times), league title (twice).

 SHINJI KAGAWA AJIUNGA RASMI NA MAN UTD

  Kiungo raia wa Japan Shinji Kagawa hatimae amejiunga na Man utd kwa makataba wa miaka minne.

 

Gerrard trusts in keeper Hart

 England captain Steven Gerrard believes goalkeeper Joe Hart could prove the decisive influence as his team attempts to end their quarterfinal curse against Italy on Sunday.

Gerrard said the in-form Hart is poised to become recognised as the world's best goalkeeper in future and may well tip Sunday's Euro 2012 battle with the Azzurri in England's favour.
"We've got one of the best goalkeepers in the world and eventually he will go on to be the best in the world," Gerrard said of Hart.
"His performances so far in the tournament have been fantastic. He's going to be one of our key players tomorrow night.
"We need Joe to perform to his maximum level because at some time in the game, or maybe in extra-time or even penalties he's going to be called upon to make a fantastic save – and we all trust he can do that."
England head into Sunday's tie at Kiev's Olympic Stadium in buoyant mood after topping Group D ahead of highly rated France.
A five-match unbeaten streak since Roy Hodgson was appointed as manager last month has fuelled genuine belief that England could reach the semifinals of a major tournament for the first time since 1996.
Gerrard, 32, was a member of England sides beaten in the quarterfinals at the 2004 European Championship and the 2006 World Cup.
However the inspirational midfielder is confident of a different outcome against Italy following England's displays in the first round.
"The level of performance of the team and the squad so far in this tournament gives me the confidence and belief," Gerrard said.
"I think in previous tournaments the reason we've gone out is because the level of performance has been under what we're capable of.
"I think we've got stronger as the tournament's gone on and hopefully that will be the same tomorrow night."
Meanwhile Hodgson acknowledged England were determined to improve their record against World Cup-winning sides in major tournaments overseas.
So far England have never won a knockout match against an established power when playing outside Wembley.
"It's a nasty statistic because it's a very negative one," Hodgson said.
"The more statistics which can be made to look negative with regard to the nation's football have got to be statistics that we have to try and do something about.
"But the fact is you don't change statistics by talking. You change statistics by getting on to the field of play and hopefully winning a game that you haven't for a long time and putting that statistic to bed."

 Minister calls for Russia overhaul 

 Russia's group stage exit from Uefa Euro 2012™ was "unsatisfactory" and showed domestic football needs major change ahead of its hosting of the 2018 World Cup, the country's sports minister said on Saturday.

Russia failed to make the quarterfinals of the competition after losing to Greece last weekend and Sports Minister Vitaly Mutko made clear that the performance would not go without consequences.
"The potential of the team is much greater than this result," Mutko told state television in an interview. "It is an unsatisfactory result. As a minimum we should have got into the knock-out stage."
Looking as the causes for the fiasco, he said: "The team was physically not prepared. They were tired. There needs to be renewal."
Mutko was critical of the Sbornaya's physical training under Dutch coach Dick Advocaat but also noted that the timetable of the Russian domestic season had left them playing several intense club games in a frantic May.
Advocaat – who took over from fellow Dutchman Guus Hiddink as coach in 2010 – had already announced before the Euro he was leaving his post, leaving Russia yet again looking for a new coach.
The medium-term future is of critical importance for the sports authorities, as Russia seeks to host the 2018 World Cup with a national team that will satisfy a hugely demanding public.
Pressure is growing to name a Russian coach for the side but Mutko lamented that there were currently no more than half a dozen Russians working as top trainers anywhere.
"Most of the head coaches at our leading clubs are foreigners... Let's not deceive ourselves.
"There needs to be a serious rebirth of the Russian school of trainers which crumbled 20 years ago" when the Soviet Union collapsed, said Mutko.
Even the team's actions after their defeat caused controversy, with the side failing to acknowledge the fans and star player Andrei Arshavin caught saying it was the supporters' problem if Russia had failed to live up to expectations.
"The players needed to thank their fans... The fact that our national team hid does them no honour," Mutko said, adding however that he was against a "hounding" of the Sbornaya.
He admitted: "There is tension between the fans and the team and this needs to be removed. Footballers need to play for the fans and understand that all their income comes in the end from the fans."
Russia's disappointing Euro 2012 on the pitch was exacerbated off it after the country's football federation was fined three times and threatened with a points deduction from the country's next European championship qualifying campaign.
That followed crowd trouble at all three of its group stage matches, with fans setting off and firing fireworks as well as displaying potentially offensive banners and flags.
For that, Uefa fined them a total of €185 000 ($230 000, £150 000) but threatened a six-point deduction for Euro 2016 in France after four volunteer stewards were attacked and needed hospital treatment after their first matc

Italy's Motta slight doubt for quarters

 
Italy midfielder Thiago Motta is a slight doubt for Sunday's Uefa Euro 2012™ quarterfinal against England because of a hamstring strain, team doctor Enrico Castellacci told reporters on Friday.
Castellacci said the player had been able to train but they would monitor his fitness "in the coming days" before deciding whether to risk him.
Brazil-born Thiago Motta started all three group games as the most advanced midfielder and would probably be replaced by Riccardo Montolivo, with Antonio Nocerino and Alessandro Diamanti also in the running.
Castellacci also said defender Giorgio Chiellini, out of the Kiev game with a thigh injury, is battling to be available later in the tournament and reserve centre back Angelo Ogbonna has a minor knee problem but should be fit for Sunday.

Balotelli clash history - ParkerEngland  

midfielder Scott Parker insists his recent clash with Mario Balotelli is ancient history as he prepares to battle the Italy striker in Sunday's European Championship quarterfinal.

Balotelli received a four-game ban last season after he was adjudged to have stamped on Parker's head during Manchester City's victory over Tottenham in the Premier League in January.
However, Parker is adamant there is no bad blood with the volatile Italian centre-forward as England and Italy face off in Kiev on Sunday with a place in the semifinals at stake.
"It's football - this is what happens in football," Parker said. "Whether Balotelli meant to do what he did or not, I don't know.
"He got punished for it and obviously has served his punishment. That was just part and parcel of football. I am not holding any grudges, I don't think anything, that's just the way it is really."
Parker, who has forged a successful central midfield partnership with Steven Gerrard, meanwhile believes England's team spirit can help them into the last four of a major tournament for the first time in 16 years.
Parker said England could learn from Chelsea's improbable victory in the Champions League this season as they sought to progress.
"I think we have a real togetherness and commitment in the squad and ultimately that can get you a long way," he said.
"We've seen that last year with Chelsea and other teams. I think fundamentally, they are the main key ingredients of why we can go and progress further, albeit it's going to be a very tough game against an Italian side that are very well prepared and organised with individual qualities.
"If we carry on doing what we are doing we can maybe upset them."
However, Parker acknowledges he is likely to have his hands full trying to contain a classy Italian midfield for whom the veteran playmaker Andrea Pirlo remains the attacking fulcrum.
"As a kid and when you play football, you want to pit your wits against the best and Pirlo is one of those," he said.
"The clips I have seen of him in this tournament, his passing ability, his control of the game is fantastic. I am really looking forward to the game. You always look forward to playing against the best.
"The front players are very tricky as well so it is going to be a tough game."

Now or never for goal-shy Benzema 


Tipped to be France's lethal weapon, Karim Benzema is still to score at Uefa Euro 2012™ ahead of a quarterfinal with Spain on Saturday when he will come up against several of his Real Madrid teammates.
Having scored a brace in France's last warm-up match, against Estonia, Benzema appeared to be arriving at the tournament with his confidence sky-high.
However, three matches later, that confidence does not appear quite so evident, despite his two assists in the 2-0 defeat of Ukraine.
Deprived of space in the 1-1 draw with England, he found himself out-muscled in the 2-0 loss to Sweden that condemned France to a second-place finish in Group D and a daunting encounter with world and European champions Spain.
"Karim would like to score a goal. He's had a few chances so far but unfortunately he's not been able to," said France coach Laurent Blanc.
"It might be a problem with the team, but the circumstances mean that luck hasn't been with him so far."
Benzema's bluntness in front of goal is a worry for France, especially as he will feel under extra scrutiny against Iker Casillas and his other Madrid teammates, with whom he won this season's Spanish league title.
With 32 goals in 52 matches, Benzema has increased his influence in the Madrid changing room, but it is no guarantee of success when he comes face to face with them on the pitch at Donetsk's Donbass Arena.
"He's frustrated not to have scored," admits France midfielder Florent Malouda.
"The best present we can give him, knowing that he'll be going back to Spain, is to help him go back with his head high, having commanded the respect of his (Real Madrid) teammates."
In Madrid's fluid attacking system, the former Lyon striker seems to play with greater freedom than with France, when everything rests on the shoulders of a man who has already played 63 matches this season.
And even though he has scored 15 goals in 48 international appearances at the age of only 24, he has only scored twice in his last nine matches, with both goals coming against unheralded Estonia.
The opening three matches at the Euro answered a number of questions about the configuration of France's triple-pronged attack.
Benzema and Franck Ribery have demonstrated a promising understanding on the left side of the pitch, but both players have struggled to link up with the enigmatic and occasionally over-elaborate Samir Nasri.
With only two of their attacking elements in full working order, it is perhaps no surprise that France have looked short of fire-power.
Frustrated by the lack of chances created for him by his teammates, Benzema reportedly made his feelings known in the post-match shouting match that erupted after the defeat by Sweden.
After the win over Ukraine, he had expressed his satisfaction at having Nasri play closer to him than in the opening draw with England.
"Nasri played higher up," said Benzema, who trails only Madrid colleague Cristiano Ronaldo in the attempts-at-goal statistics.
"It was much better – I could make runs in behind and free up space. So it's important for him to be closer to me."
On Saturday, against Spain, he is hoping for greater room to manoeuvre than he was granted by the Swedes in Kiev on Tuesday.
"Against Spain, who are a team that plays football, we'll have more space," he said. "The confidence is still there, but we need to get back to work."
If France prevail, another familiar face will await in the semifinals, with his changing-room ally Ronaldo already through to the last four with Portugal.


  TUSI LA MCHEZAJI WA 12 KWA UBORA DUNIANI" -NI CHANGAMOTO YA RONALDO KUFANYA VIZURI ZAIDI KWENYE EURO
 Cristiano Ronaldo ana kitu cha ziada cha kujituma kuelekea kwenye mchezo wa robo fainali wa Euro 2012 dhidi ya Czech Republic baada ya kuambiwa kwamba hawezi hata kucheza ndani ya kikosi cha kwanza cha timu yake pinzani kwenye La Liga Barcelona.

Kufuatia msimu mzuri na klabu yake, Mchezaji huyo wa Real Madrid  ana matumaini  ya kushinda kombe lake la kwanza la kimataifa na anaamini anapaswa kushinda tuzo ya Ballon d'Or - tuzo ya mchezaji bora wa dunia ambayo kwa sasa inashikiliwa na mchezaji wa Barca Lionel Messi.

Ingawa, Raisi wa Barca Sandro Rosell amesisitiza wiki hii kwamba Ronaldo na kipaji chake kimekuwa kikikuzwa na media lakini sio kweli kwamba ana uwezo ambao unaweza ukamzidi mchezaji yoyote anayeanza kwenye kikosi cha Barca.

"Cristiano Ronaldo sio mchezaji bora wa dunia, anashika nafasi ya 12 . Wachezaji 11 wa kikosi cha Barca ndio wanamuongoza. Nje ya Spain kila mtu anajua na ipo wazi kwamba Lionel Messi  anapaswa kushinda Ballon d'Or lakini sio hapa Spain."

Ronaldo amefunga mabao mengi sana tangu akiunge na Real Madrid kutoka Manchester United miaka 3 iliyopita, lakini mara zote amekuwa akiona jitihada zake zikifunikwa na Lionel Messi, mchezaji wa Kiargentina ambaye yupo njiani kuwa mmoja ya wachezaji bora wa muda wote wa soka.

Kufananishwa kwake na Messi mara nyingi kumekuwa kukimkera Ronaldo, na hiyo ilionekana wiki iliyopita baada ya Ureno kucheza mechi ya pili ya kundi la kifo dhidi ya Denmark, alipokaririwa akisema kwamba hata Messi alifeli mwaka uliopita baada ya kutolewa kwenye Copa America ndani ya ardhi ya Argentina mwaka uliopita.

Perfromance aliyoionyesha Ronaldo kwa kufunga mabao mawili muhimu dhidi ya Uholanzi na kuipeleka timu yake kwenye robo fainali , ambayo ilikuwa kwenye hatari ya kutolewa baada ya kufungwa na Ujerumani kwenye mechi ya ufunguzi.

Kwa mafanikio yake yote kwenye level ya klabu, Ronaldo amekuwa muda mwingine akihangaika kucheza vizuri wakati akiongoza timu yake ya taifa. Alishindwa kuizuia Ureno kufungwa na Ujerumani kwenye Euro 2008 hatua ya robo fainali na haukucheza vizuri wakati Wareno walipotolewa na Spain kwenye robo fainali ya kombe la dunia 2010.

Mechi dhidi ya Czech, timu ambayo imeundwa vizurilakini isiyokuwa na mchezaji mmoja anayetegemewa kama ilivyokuwa miaka iliyopita, timu hii inatoa nafasi kubwa ya Ronaldo na wenzake kwenda hatua inayofuatia ili kuzidi kuongeza nafasi ya Ronaldo kwenye kugombea Ballon d'Or.

Jukumu la kumkaba Ronaldo litatua kwenye mabega ya Theodor Gebre Selaisse, beki mwenye asili ya Ethiopia ambaye alitolewa maneno ya kibaguzi na Russia kwenye mchezo wa kwanza wa Euro  kwenye kundi lao.

Gebre Selaisse ni mchezaji ambaye yupo fiti, ana nguvu na amesema kwamba amejiandaa vizuri kukabiliana na Ronaldo. "Michezo yote kwenye michuano hii imekuwa migumu sana na changamoto kubwa. Ronaldo ni mmoja kati ya wachezaji bora duniani, lakini hatumuogopi."

Hatua ya robo fainali inaanza leo baada ya siku 12 za hatua ya makundi. Uholanzi ambao walicheza fainali ya World Cup 2010, na Russia waliocheza nusu fainali Euro 2008, ndio pekee walioshangaza kwa kutolewa mapema, na kuifanya hatua ya robo fainali itazamwe zaidi kwa jicho la mbali bila kuzidharau timu kama Greece .

Kuiongoza Ureno sio kazi rahisi kwa Ronaldo, lakini lolote linawezekana ikiwa ataendelea kucheza kama alivyocheza dhidi ya Wadachi. Na kwa kesi hiyo, mmoja ya mabosi wa Barcelona itabidi ale maneno yake mwenyewe.

No comments:

Post a Comment

KARIBU