..

..
.

Saturday 17 November 2012

ALIEKUWA MBUNGE WA NJOMBE KASKAZIN TANGU 1975 HADI MWAKA 2010 JACKSON MAKWETA AFARIKI DUNIA LEO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI

Jackson Muvangila Makweta (kulia) enzi za uhai wake
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Njombe Kaskazini na Waziri wa zamani wa Elimu na wizara nyingine mbalimbali katika serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jackson Makweta, amefariki dunia leo baada ya kuugua.

Taarifa zilizothibitishwa leo zimedai kuwa Makweta amefariki baada ya kuugua na kulazwa katika Hospitali ya Jeshi la Wananchi Lugalo ambako ndiko alikokuwa amelazwa.

Makweta alikuwa ni miongoni mwa watu wachache waliokuwa wakishikilia rekodi ya kudumu na cheo cha ubunge kwa muda mrefu nchini kwani aliingia madarakani mwaka 1975 na kung'olewa mwaka 2010.

No comments:

Post a Comment

KARIBU