..

..
.

Thursday 6 September 2012

LIPUMBA AZUNGUMZIA KUSAJILIWA KWA CHAMA ADC NA KUHAMA KWA BAADH YA VIONGOZI WA WA CHAMA CHA CUF

  Chama cha CUF Tanzania kimesema kupatiwa usajili wa kudumu kwa chama kipya cha ADC ambacho wanachama na viongozi ni wale waliotoka chama hicho cha CUF hakumaanishi ushawishi wa chama hicho sasa umefika mwisho wake.
Akizungumzia kusajiliwa kwa chama hicho mwenyekiti wachama cha wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba hata hivyo ametilia wasiwasi namnachama hicho kilivyopata usajili wa kudumu tofauti na inavyokuwa kwavyama vingine vya siasa.
Na suleiman KIBUGA

No comments:

Post a Comment

KARIBU