..

..
.

Wednesday 13 June 2012

VIKOSI VITAKAVYOANZA LEO
Denmark: Lindergaard, Poulsen, Agger, Kjaer, Jacobsen, Zimling, Kvist, Kron-Dehli, Eriksen, Rommedahl, Bendtner


Ureno: Patricio, Pereira, Pepe, Alves, Coentrao, Moutinho, Veloso, Meireles, Nani, Postiga, Ronaldo




MAMBO MUHIMU KUHUSU TIMU
  • Wakiwa hawana majeruhi mapya, Denmark wanategemewa kutaja kikosi kile kile kilichoshtua watu kwa kuifunga Uholanzi bao 1-0.
  • Kwa maana hiyo kipa Stephen Andersen anaweza akaanza mbele ya Lindergaard huku pia Jacobsen na Zimling wakitarajiwa kuanza mbele ya Wass na Poulsen.
  • Lasse Schone atakuwa na matumaini ya kuanza mbele ya Rommedahl katika winga sambamba na Kronh-Dehli.
  • Ureno nayo haitegemewi kubadili kikosi kilichofungwa na Ujerumani, Paulo Bento hana option kubwa zaidi ya kukianzisha kile kile.
  • Nani alicheza dakika zote 90 japokuwa alionekana kuchoka mwishoni mwa mechi, anategemewa atakuwa fiti na kuanza leo dhidi ya Wadenmark na kucheza kwa dakika zote 90 kutegemeana na kiwango chake.
  • Nelson Oliveira atakuwa akitaka kuanza mbele ya Postiga ambaye ameonekana butu kwa safu ya ushambuliaji, huku Almeida akisubiri kwenye benchi.

No comments:

Post a Comment

KARIBU