..

..
.

Wednesday 13 June 2012

KUTOKA VIWANJA VYA BUNGE MJINI DODOMA LEO

Waziri wa Nchi ofis ya Rais (Utawala Bora) George Mkuchika(kulia) akijadiliana jambo jana mjini Dodoma na Mbunge wa Jimbo la Tanga mh. Omar Nundu (kushoto) mara baada ya kipindi cha maswali na majibu ya kikao cha pili cha Mkutano wa nane wa Bunge kumalizika.

 Mwenyekiti wa Simba Sport Club ambaye pia ni Mbunge wa Tabora mjini Ismail Aden Rage(kushoto) akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Maji Dkt Binilith Satano Mahenge (kulia) leo mjini Dodoma mara baada ya kipindi cha maswali na majibu kumalizika: 

No comments:

Post a Comment

KARIBU