..

..
.

Sunday 10 June 2012

Kongamano la UDSM kutambua mchango wa Profesa Goran Hyden lafana





 Mwanataaluma mkongwe Profesa Goran Hyden akijibu hoja na maswali mbalimbali yalitolewa na wahadhiri na wanataalumu mbalimbali kutoka ndani na nje ya Tanzania jana mjini Dar es salaam wakati wa kongamano la siku moja la wanataaluma liloandaliwa maalum na Chuo Kikuu cha Dar es salaam la kutambua mchango wa Profesa Goran Hyden alioutoa ndani na nje Tanzania kitaalumu.

No comments:

Post a Comment

KARIBU