..

..
.

Saturday 23 June 2012

Kampeni ya Kubandika Stika Zenye Namba za Simu za Vituo Mbalimbali za vituo Vya Polisi Yazinduliwa Jijini Dar es Salaam

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Sabasaba Moshingi  akibandika stika hizo.
 Kamanda Mkuu wa Kikosi Cha Usalama Barabarani akizungumza na Waandishi wa Habari Mara baada ya kuzindua kampeni ya kubandika stika zenye namba za simu za vituo mbalimbali ambazo abiria watazitumia kwaajili ya kutoa taarifa za usalama na matukio ya uvunjifu wa sheria barabarani. Kampeni hiyo inadhaminiwa na benki ya posta (TPB)

No comments:

Post a Comment

KARIBU