..

..
.

Wednesday 30 May 2012

TAWLA yaendesha Semina kwa Waandishi wa Habari juu ya umuhimu wa Afya ya Uzazi salama kwa Wanawake katika mchakato wa Katiba Mpya

Wakili Bernadetha Mkandya ambaye pia ni mwanachama wa Chama cha Wanasheria wanawake (TAWLA) akiwasilisha mada katika semina ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali iliyoandaliwa na TAWLA inayozungumzia Mabadiliko ya Katiba na haki ya Afya ya Uzazi salama inayofanyika kwenye Hoteli ya Blue Pear Ubungo Plaza jijini Dar es salaam hivi sasa.Moja ya mada zilizochukuwa muda mrefu kujadiliwa..............

No comments:

Post a Comment

KARIBU