..

..
.

Wednesday 30 May 2012

Taswira Mbalimbali Za Mzee Idd Simba na Salim Mwaking'nda Walipotinga Mahakama Ya Hakimu Mkazi Kisutu

Aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara wa zamani, Idd Simba akiongozwa na askari Polisi wakati alipofikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana kujibu mashata 8 likiwemo la kula njama na, kughushi pamoja na kulitia hasara Shirika la Usafiri Dar es Salaam UDA zaidi ya Sh. milioni 300. Mshtakiwa huyo alifikishwa mahakamani hapo pamoja na washtakiwa...................................................

No comments:

Post a Comment

KARIBU