..

..
.

Thursday 31 May 2012

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL ASAINIANA MKATABA NA MAKAMU WA RAIS WA KWANZA WA IRAN MAKUBALIANO YA PAMOJA KATI YA IRAN NA TANZANIA


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, na Makamu wa Rais wa Kwanza wa Iran, Mhe. Mohammad Reza Rahimi, wakisainiana mkataba wa makubaliano ya pamoja ya masuala mbalimbali yanayohusu uhusiano wa nchi hizo mbili, wakati wa hafla hiyo fupi iliyofanyika kwenye........ Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam jana Mei 30, 2012.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...............

No comments:

Post a Comment

KARIBU