..

..
.

Thursday 31 May 2012

Maaskofu Tanzania "wawaka": Japo Wakristo ni wapole, Yellow ina-blink wanaweza ku...

Askofu Mkuu wa Kanisa Anglikana Tanzania, Dkt. Valentino Mokiwa (wa kwanza kulia) akizungumzia kadhia iliyojitokezea Zanzibar ya kuchomwa moto kwa Makanisa mbalimbali. Alizungumza huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar walipokutana Maaskofu mbalimbali na Waziri wa Nchi, Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud Mohammed (picha: Salma Said, Zanzibar)Jopo la Maaskofu wa madhehebu mbalimbali nchini jana wameitolea uvivu.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kushindwa kudhibiti vitendo vya uharibifu wa makanisa visiwani humo. Akizungumza kwa niaba ya maaskofu hao mbele ya. Waziri wa Nchi Katika ofisi ya Makamu wa Pili Mohamed Aboud, Askofu mkuu wa Kanisa la Anglican Dkt. Valentino Mokiwa, alisema kuwa vitendo hivyo sasa vimekithiri na kwamba hawaoni Serikali hiyo ikichukua hatua madhubuti hivyo Wakristo wamechoka

No comments:

Post a Comment

KARIBU