..

..
.

Wednesday 24 July 2013

NI MTANANGE KATI YA CAOSTAL UNION YA JIJI TANGA URA YA UGANDA MKWAWANI JIJINI TANGA

  Kikosi cha U R A 
Kikiwa kamili kiokosi hiocho hapo juu kimesha cheza na timu maarufu jiji Dar es salam ambapo ni timu kati ya Yanga African Sports Club Simba Sports Club 
Na leo hii ita cheza na timu maaruf ilioyojipanga vyema kuwasha moto wake katika jua la saa tisa za mchana wakiwa na  viungo wakali walio wasajili katika maandalizi ya ligi ya voda com na pia kwa kuiweka timu iwe katika hadhi ya juu zaid Coast wao wamejipanga vyema  kuumana na wapinzani wao  U R A na pia ikiwa ni mara ya kwanza kwa timu kubwa kama hyomkucheza katika uwanja wa mkwakwani  toka miaka mingi  tu iliopia 

 Kikosi cha Timu ya Coastal Union
Waswahili wanasema leo ni leo asemae kesho muongo hakika ile kiu ya wana Coast jiji Tanga walikua na hamu ama  Kiu ya kucheza na timu kubwa kwa ajili ya kujipima nguvu na pia kwa wachezaji wapya leo imetimi Hivyo Coast leo itavurumisha vumbi lake la Mkwakwani jijini kwa uwezo wao wote kwa kukusudia ushindi 
Ni mwandishi wako abull makavell mmiliki halali wa blog hiii

No comments:

Post a Comment

KARIBU