..

..
.

Saturday 10 November 2012

MATEKE YA MGAMBO YAWAMALIZA AZAM KWA BAO 2 - 1


DK 90: Simba 0-1 Toto FULL TIME


 DK 83: Simba wanafanya mabadiliko anatoka Kazimoto anaingia Edward Christopher. 

Kutoka Tanga - Azam 1-2 Mgambo JKT 

 DK 74: Toto inapata bao la kuongoza linalofungwa na Mussa Said akiunganisha krosi ya Mohamed Jingo. Simba 0-1 Toto.

 DK 72: Mrisho Ngassa anaenda benchi na nafasi yake inachukuliwa na Haruna Chanongo. Simba 0 - 0 Toto

 DK 84: Issa Kambili anaipatia Mgambo bao la pili dhidi ya Azam

 DK 62: Toto inafanya mabadiliko anatoka Kheri Mohamed anaingia Mohamedi Hussein

 DK 55: Seleman Kibuta wa Toto anakosa bao la wazi baada ya shuti lake kupanguliwa na kipa wa Simba William Mweta.

Kutoka Tanga - DK ya 75 Azam 1-1 Mgambo

DK 50 Mrisho Ngassa anakosa bao la wazi akiwa amebaki na kipa wa Toto.

Kipindi cha pili kinaanza hapa uwanja wa taifa Simba 0-0 Toto
 
Kutoka Tanga hivi ni dakika ya 10 kipindi cha pili Azam 1-1 Mgambo.


 Mpira ni mapumziko Simba 0 - 0 Toto

 Dakika ya 42 milango ya timu zote bado migumu huku timu zikishambuliana kwa zama.

 Dakika ya 28 - Simba 0 - 0 Toto Africa

Kutoka Tanga - Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimeisha timu zikitoshana nguvu, Azam 1 - 1 Mgambo JKT .

 Uwanja wa taifa leo upo doro, watu wakiwa wachache sana. Kipindi cha kwanza mpira ni mkali na timu zinashambuliana kwa zamau. Hivi sasa ni dakika ya 15 - Simba 0 - 0 Toto

AZAM 1 -1 MGAMBO - Mabao ya Kipre Balou  kwa Azam, na Issa Kambili aliifungia Mgambo

No comments:

Post a Comment

KARIBU