..

..
.

Thursday 6 September 2012

Jumuiya za habari Tanzania vyataka uchunguzi kwa kifo cha mwandishi wa habari

Jukwaa la Wahariri nchini Tanzania (TEF) na Baraza la Habari la Tanzania (MCT) wametaka uchunguzi huru kwa kifo cha mwandishi wa habari Daudi Mwangosi, liliripoti gazeti la The Citizen la nchi hiyo hapo Jumanne (tarehe 4 Septemba).
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Robert Manumba, aliliambia gazeti la Daily News la Tanzania kwamba ataongoza uchunguzi wa tukio hilo. TEF na MCT wamekubali kuchangia kwenye uchunguzi huru
Makala zinazohusiana 

No comments:

Post a Comment

KARIBU