..

..
.

Saturday 14 July 2012

KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA WATEMBELEA OFISI ZA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI UINGEREZA

Waziri Mkuu Mstaafu, Mbunge wa Monduli na ambaye ni Mwenyekiti wa
Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mh. Edward
Lowassa(nne kushoto), Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Mh. Peter
Kallaghe(tano kushoto), wakiwa pamoja na wajumbe wa Kamati ya Bunge.
Kutoka kushoto , Mh. Rachel Mashishanga, Mh. Beatrice Sherukindo, Mh.
Vita Kawawa, Mh. Khalifa M Khalifa(tatu kushoto), Naibu Balozi, Mh.
Chabaka Kilumanga na Katibu wa Msafara
Pichani, Mheshimiwa, Edward Lowassa (Waziri Mkuu Mstaafu), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi, Wajumbe wa Kamati na Maofisa wa Ubalozi.
Waziri Mkuu Mstaafu, Mheshimiwa Edward Lowassa akisindikizwa na Mheshimiwa Balozi Peter Kallaghe na Maofisa wa Ubalozi baada ya kumaliza mkutano na Maofisa wa Ubalozi. Picha na Allly Rashid Dilunga 

No comments:

Post a Comment

KARIBU