Monday 23 July 2012
IKULU:Rais Jakaya Kikwete Azindua Mradi wa Maji Safi na Mazingira Mjini Mbeya
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Kamishna wa Maendeleo katika Jumuiya ya Ulaya Andris Piebalgs(wapili kushoto), balozi wa jumuiya ya ulaya nchini Cerian Philberto Sebregondi(kushoto),Balozi wa Ujerumani nchini Klaus Peter Brandes na Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe wakikata utepe kuzindua rasmi mradi wa maji safi na mazingira Mjini Mbeya jana mchana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment