..

..
.

Wednesday 6 June 2012

Uzembe Wa Madereva Na Ubovu Wa Taa Barabarani wasababisha Ajali

Ajali hii imetokea alfajir ya leo kwenye makutano ya mandela road na kilwa road ilihusisha malori mawili kwenye taa za kuongozea magari uhasibu ambapo mashuhuda walisema lori la kampuni ya Azam halipo pichani, lilishika breki ghafla katikati ya taa za kuongozea kupisha gari ndogo iliyokuwa ikitokea jitegemee kwenda sabasaba,dereva wa lori  alishindwa kulidhibiti wakati akijaribu...

No comments:

Post a Comment

KARIBU