..

..
.

Wednesday 6 June 2012

MAHAKAMA YASEMA LEMA ANA KESI YA KUJIBU

 
                            Godbless Lema
 wa Arusha Mjini, inaendelea kuunguruma leo baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kutupilia mbali pingamizi za awali zilizowekwa na mawakili wa utetezi, Method Kimomogoro na Timon Vitalis. Jaji Aloyce Mujuluzi alitoa uamuzi wa pingamizi zilizotaka kesi hiyo itupiliwe mbali kwa madai kuwa, walalamikaji hawakuwa na haki kisheria kulalamikia mambo ambayo...

No comments:

Post a Comment

KARIBU