..

..
.

Monday 25 June 2012

KESHO TAREHE 26 MWEZI WA SITA NI KUMBUKUMBU YA AMINA CHIFUPA




Ilikuwa tarehe 26 mwezi wa sita tulimpoteza Mh: Amina Chifupa .Ikiwa pia ni siku ya upigaji vita wa madawa ya kulevya nchin Tanzania
Mh: Amina chifupa ametimiza miaka mitano toka alipo fariki tuta endelea kumuenzi kwa ucheshi wake mmungu amuweke panapo stahiki
 Mpaka anakumbwa na mauti alikuwa mbunge wa viti maalum wa chama cha mapinduzi CCM

No comments:

Post a Comment

KARIBU