..

..
.

Monday 28 May 2012

     MLIPUKO WA MABOMU WATOKEA NCHINI NAIROBI, KENYA

                                                Watu wakiwa na mshangao nje ya barabara.Mpaka sasa watu wapatao 30 wamejeruhiwa baada ya mlipuko uliotokea Moi Avenue-Nairobi, Kenya na kusababisha baadhi ya majengo kushika moto; idadi hiyo imetolewa na NTV ya nchini Kenya. Chanzo cha mlipuko huo hakijafahamika mpaka

                    Majeruhi wakiingizwa kwenye gari la wagonjwa kukimbizwa hospitali

No comments:

Post a Comment

KARIBU