..

..
.

Tuesday 8 September 2015

COASTAL UNION YANYAKUA MILIONO ISHIRINI NA TANO ZA NSSF

 Mkono wa kushoto ni mkurugenzi wa NSSF taifa,Dkt.Ramadhani Dau akimkabizi mchezaji wa timu ya Coastal Union ya jijini Tanga cheki ya million 25 juzi uwanja wa Mkwakwani alipotembelea pambano la karne dhidi ya African Sports ambapo matokeo Coastal Union ilitoka kwa ushindi wa bao 1-0.
 Pichani mkono wa kushoto aliyevaa fulana ya mistari na miwani ni mkurugenzi mkuu wa NSSF taifa,Ramadhani Dau mara baada ya kumkabidhi cheki ya million 25,mchezaji wa timu ya Arican Sports akitoa maelekezo.
 Pichani ni mkurugenzi mkuu NSSF taifa,Dkt.Dau akiteta kitu na meneja wa NSSF mkoa wa mkoa wa Tanga,Dkt.Frank Maduga ambaye amevaa fulana ya njano mkono wa kulia juu ya zawadi za washindi .
Hizi ni zawadi zilizotolewa kwa timu za soka wanaume na wanawake juzi mkoani Tanga.

No comments:

Post a Comment

KARIBU