..

..
.

Wednesday 31 December 2014

AFRICAN SPORTS IPO TAYAR KUIVAA LIPULI HAPO JANUARY /1/2015

Timu ya jijini tanga african sports ambayo mpaka sasa imenyakua points 23 katika msimamo wa ligi daraja la kwanza hapo kesho january mosi 2015 itaumana na lipuli ya iringa na katika kinyanganyia kushika nafas nimeongea na kocha wa african sports kwa njia ya sm amesema wamejiandaa vyema na wako tayar kuivaa lipuli kesho mnamo saa kumi mchana pamoja na hayo amesema kuwa kunachangamoto katika uwanja wao ambao ni huu
huu ni uwanja ambao umendaliwa kwa ajili ya mechi ya kesho dhid ya AFRICAN SPORTS NA LIPULI
 Leo asubuhi wachezaji wetu wamefanya mazoezi uwanja wa samora (iringa) ya kujiandaa na mechi ya kesho dhidi ya lipul fc

No comments:

Post a Comment

KARIBU