..

..
.

Saturday 19 October 2013

HIZI NDIZO SHAMRA SHAMRA ZA COASTAL UNION HUKO TABORA

 Kocha Mkuu wa Coastal Union Hemed Moroco (mwenye kofia), akiwa na viongozi wa timu hiyo Abdul Ubinde wa kwanza kulia na Miraji Wandi wa pili kulia, wa kwanza kushoto ni Uhuru Suleiman, kiungo wa timu hiyo; katika uwanja wa kimataifa wa JK nyerere kabla ya kupanda ndege kuelekea Mwanza na baadaye Bukoba kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu kati yao na Kagera Sugar siku ya Jumamosi wiki hii.
.


 Meneja wa Coastal Union, Akida Macha akiwa na Kocha wa timu hiyo Hemed Moroco...













COASTAL UNION

No comments:

Post a Comment

KARIBU