..

..
.

Sunday 3 February 2013

LIVE MATCH CENTRE: SIMBA SC 1 - 1 JKT RUVU

.Dk 90 mpira umeisha. FULL TIME SIMBA 1-1 JKT

Dk 85 Simba inafanya mabadiliko ametoka Ramadhan Chombo ameingia Kiggi Makassy.

Dk 86 Penalty, Simba inapata penalti katika mazingira ya kutatanisha. Shomarh Kapombe anapiga anakosa.

Dk 84 JKT imefanya mabadiliko ametoka Amos Mgisa ameingia Samwel Madenge

Dk 74 Simba imefanya mabadiliko ametoka Abdallah Seseme ameingia Haruna Moshi Boban.

Dk 70 Timu zinashambuliana kwa zamu, JKT wanaonekana wamezinduka.

Dk 62 Gooo..! Nashon Matali anaifungia JKT bao la kusawazisha akiunga pasi ya Mgosi. Simba 1-1 JKT

Dk 60 JKT imefanya mabadiliko, ametoka Emmanuel Pius ameingia Amos Mgisa.

Dk 54 JKT imefanya mabadiliko, ametoka Credo Mwaipopo ameingia Mussa Holoa.
Dk 51 Simba wanapiga kona na beki Damas Makwaya anaokoa mpira katika mstari wa goli. Simba 1-0 JKT. Simba imefanya mabadiliko, ametoka Mrisho Ngassa anaingia Abdallah Juma.

Dk 47 Timu zinashambuliana kwa zamu Simba wakiendelea kuongoza.

DK 45: Mpira mapumziko Simba 1 - 0 JKT


 Dk 39 Simba inatawala mchezo hasa kiungo na ushambuliaji japokuwa JKT nao wanaonekana kutafuta bao la kusawazisha. Simba 1-0 JKT

DK 18: Simba 1 (Kiemba) - 0 Jkt Ruvu.

Dk 9 Mussa Mgosi wa JKT anakosa bao la wazi akiwa amebaki na kipa Juma Kaseja wa Simba: Simba 0-0 JKT.   

Mpira umeanza Simba 0 -0 JKT

First Eleven of Simba SC vs JKT Ruvu Taifa leo
1- Juma Kaseja
2-Haruna Shamte
3-Paul Ngalema
4-Komalbil Keita
5-Shomari Kapombe
6-Abdallah Seseme
7-Haruna Chanongo
8-Mwinyi Kazimoto
9-Mrisho Ngassa
10-Amri Kiemba
11-Ramadhan Chombo


JKT RUVU: Shaaban Dihile, Credo Mwaipopo, Kessy Mapande, Kisimba Luambano, Damas Makwaya, Jimmy Shoji, Hussein Bunu, Nashon Matali, Mussa Mgosi, Zahoro Pazi, Emmanuel Pius

No comments:

Post a Comment

KARIBU