..

..
.

Monday 21 January 2013

MAAFA MAKUBWA YA MVUA MANISPAA YA MTWARA HII LEO.

Maji yakiwa yamekusanyika nakuzamisha baadhi ya nyumba Majengo Mtwara eneo la Chuno huku athari kubwa zikitarajiwa kuwepo kutokana na mvua hiyo kuendelea kunyesha mchana huu.
Baadhi ya wananchi wa eneo la Majengo Mtwara wakiangalia mafuriko ya maji huku wengine wakijaribu kwenda kuokoa baadhi ya vitu vyao kwenye nyumba.
Hali halisi kwenye eneo hilo.
Dua zinahitajika kuomba mvua inayoendelea kunyesha isimame.

No comments:

Post a Comment

KARIBU