..

..
.

Wednesday 28 November 2012

NDEGE YA TANZANIA AIR YAKATA MAWASILIANO YA UMEME YATUA KWA TUMBO KWA DHARULA UWANJA WA MTWARA IKITOKEA MSUMBIJI

Ndege ya kukodi ya Tanzanair iliyokuwa na marubani wawili, iliyokuwa ikitokea Msumbiji kwenda jijini Dar es Salaam, imelazimika kutua kwa kusota kwa tumbo bila kutoa matairi katika Uwanja wa Ndege wa Mtwara bila mawasiliano, baada ya ndege hiyo kukata mawasiliano ya umeme ghafla wakati ikiwa hewani na kuzimika. 
Aidha imeelezwa kuwa marubani wote wawili waliokuwamo katika ndege hiyo bila abiria yeyote wote wamesalimika na ndege hiyo imeharibika vibaya huku Propela zake zote zikiwa zimekunjamana. Marubani hao wameueleza mtandao huu kwa njia ya simu kuwa waliamua kutua katika uwanja huo kwa dharula baada ya ndege kushindwa kutoa matairi

No comments:

Post a Comment

KARIBU