Mrembo
Lisa Jensen ambaye ni Redd's Miss World Tanzania 2012 amerejea jijini
Dar es Salaam leo akitokea nchini China alipokwenda kuiwakilisha nchi
katika mashindano ya Dunia mwaka huu na kupokelewa na viongozi kadhaa
wa Kamati ya Miss Tanzania akiwepo Mkurugenzi wa Kino International
Agency waandaaji wa Miss Tanzania Hashim Lundenga (kulia) aliyefika
uwanja wa ndege wa JNIA Dar es salaam kumpokea.
Redd's
Miss World Tanzania 2012,Lisa Jensen akizungumza na viongozi wa Kamati
ya Miss Tanzania, kutoka kushoto, Katibu Mkuu, Bosco Majaliwa, Mrembo
Amisa Hassan, Mkurugenzi Hashim Lundenga na Ofisa Habari wa Kamati,
Haidan Rico
Redd's
Miss World Tanzania 2012,Lisa Jensen akila pozi ya picha na mmoja wa
warembo waliofika kumpokea Amisa Hassan. Lisa alifanikiwa kuingia Robo
fainali za Top Model na kumi na kumi bora ya Shindano la Multmedia
Award 2012.
No comments:
Post a Comment