..

..
.

Tuesday 21 August 2012

LISA JENSEN ALIYEKUWA AKITUWAKILISHA KATIKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2012 AREJEA TANZANIA

Mrembo Lisa Jensen ambaye ni Redd's Miss World Tanzania 2012 amerejea jijini Dar es Salaam leo akitokea nchini China alipokwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya Dunia mwaka huu na kupokelewa na viongozi kadhaa wa Kamati ya Miss Tanzania akiwepo Mkurugenzi wa Kino International Agency waandaaji wa Miss Tanzania Hashim Lundenga (kulia) aliyefika uwanja wa ndege wa JNIA Dar es salaam kumpokea.
Redd's Miss World Tanzania 2012,Lisa Jensen akizungumza na viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania, kutoka kushoto, Katibu Mkuu, Bosco Majaliwa, Mrembo Amisa Hassan, Mkurugenzi Hashim Lundenga na Ofisa Habari wa Kamati, Haidan Rico
Redd's Miss World Tanzania 2012,Lisa Jensen akila pozi ya picha na mmoja wa warembo waliofika kumpokea Amisa Hassan. Lisa alifanikiwa kuingia Robo fainali za Top Model na kumi na kumi bora ya Shindano la Multmedia Award 2012.

No comments:

Post a Comment

KARIBU