..

..
.

Tuesday 26 June 2012

Mahakama kuu ya Tanzania Kitengo cha kazi leo kimetoa onyo kwa Chama cha Madaktari Nchini (MAT) kuzingatia amri ya Mahakama hiyo iliyotolewa siku ya Ijumaa tarehe 22 Juni 2012 ya kusitisha na kutoshiriki katika mgomo na kumtaka Rais wa Chama cha Madaktari kutangaza kutii amri hiyo kupitia vyombo vya habari.


No comments:

Post a Comment

KARIBU