..

..
.

Wednesday 20 June 2012

DAWA YA NYWELE YA CARROLL NDIO SIRI YA USHANGILIAJI WA GOLI LA ROONEY

 Muda mfupi baada ya Wayne Rooney kuwafunga Ukriane kweye Euro 2012 na goli la kichwa, mshambuliaji huyo wa England alishangilia goli kwa mtindo wa kujipulizia dawa ya nywele kichwani.Haikuwa ishara ya kuonyesha mafanikio ya ya upasuaji alioufanya wa kuotesha nywele, bali ilikuwa ni ishara kwa mchezaji mwenzie Andy Carroll, ambaye alimuazima Rooney dawa hiyo ya nywele na kupulizia kabla ya mechi na Carroll alimwambia Rooney afunge bao la kichwa.

No comments:

Post a Comment

KARIBU