..

..
.

Tuesday 10 July 2012

AFRIKA KUSINI KUWAENZI WAPIGANIA UHURU WAKE

Makamu wa Rais wa Afrika ya Kusini Kgalema Montlante akihutubia wageni waliohudhuria sherehe ya kuzindua rasmi mikakati ya afrika Kusini kuwaenzi wapigania uhuru wake kupitia taasisi ya SOMAFCO TRUST kwenye ukumbi wa ndani wa Diamond Jubilee
 Wageni waalikwa kutoka Vyuo Vikuu na Taasisi mbali mbali,wakiwemo pia kutoka Afrika Kusini na nchi marafiki wakisikiliza kwa makini hotuba ya makamu wa  Rais wa Afrika Kusini alipoutubia juu ya mikakati ya kuenzi wapigania uhuru,ambapo alisema Mzimbu na Dakawa kutajengwa kumbukumbu maalumu za kistoria kusaidia vizazi vijavyo kutambua wapigania uhuru wao.

No comments:

Post a Comment

KARIBU