Aliyekuwa
mtangazaji wa Clouds FM katika kipindi cha Jahazi, Garder G Habash aka
Captein anatarajia kuanza kutangaza tena Jumatatu ijayo kupitia kituo
cha radio cha Times FM 100.5 cha Dar es Salaam.
Kipindi chake kiitwacho Maskani kitakuwa kikiruka kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 10 jioni hadi saa 1 usiku.
Picha ya pamoja ya baadhi ya watangazaji wa Times FM. Kutoka kushoto ni: Gadner, Schola, Natasha, Ndimbo, Dida na Joet.
|
Kwa
upande wa Dar es Salaam, Maskani ina nafasi kubwa ya kuchukua
wasikilizaji wengi wa Jahazi hasa wanaosikiliza radio wakiwa majumbani.
Times
FM wana disadvantage ya frequency walinayo ya 100.5 ambayo gari nyingi
haizifikii na hii ni kwasababu kuna wasikilizaji wengi jijini Dar es
Salaam wanaosikiliza radio kwenye magari.
No comments:
Post a Comment