..

..
.

Saturday 3 January 2015

COASTAL UNION KUIVAMIA JKT RYVU LEO MKWAKWANI JIJIN TANGA


 Hichi ndicho kikosi kamili cha COASTAL UNION kitakacho ikabili JKT RUVU ya jijin Dar leo saa kumi mchana mtanange huo utachezwa katika viwanja vya mkwakwani amabapo timu ya coastal union waiki iliopita ilicheza na prison ya mbeya ikatoa droo ikiwa katika nafasi ya tano coastal union na poit 23 leo itacheza kwa jihad zote kuweza kupata point 26 muhim
Na hichi ndicho kikosi cha JKT RUVU ya JIJIN DAR kitakacho ikabili COASTAL union mnamo saa kumi alasir ndani ya uwanja wa mkwakwani leo hii jumamosi tarehe 3/1/2015
Kocha wa COASTAL UNION James Nandwa leo ameongea nami kataka uwanja wa popatlal na kusema timu iimejipanga na yupo kimapambano zaid na si katika kutafuta droolengoni timu kuwa ya kwanza katika msimamo wa ligui kuu ya vodacom ameyasema hayo.

No comments:

Post a Comment

KARIBU